Ufisadi White House

Andrew Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2008
Posts
3,007
Reaction score
2,451
Sijui wangapi wamemsikiliza Dr. David Peter Beter. Katika audio letter no. 45,topic no. 2.

Anasema Jimmy Carter aliuawa 22 April 1978, He was replaced by a robotoid. Sikliza audio no 46 na 47 kuhusu robotods.

No, sijakunywa wine. Zisikilize hizo audio.
 
Nani kasema umekunywa wine?
 

Hahahha, Andrew Nyerere mbona unajishtukia!! Yaani ulishahisi watu hatakuamini, watajua uliandika ukiwa umelewa. Tutasikiliza na kukupa mrejesho.
 
Hahaaaa watu wanaomuelewaga huyu jamaa ni wachache sana humu ndani.

No sijanywa vodka
 
kwa sababu watu hawajamwelewa mleta mada hivyo hata wachangiaji wamekuwa wachache?
 

Kweli kabisa, upo sahihi, hii hapa: Dr. Peter David Beter - Audio Letter No. 45.

[TABLE="width: 550, align: center"]
[TR]
[TD="align: left"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…