mapesi masami
New Member
- Feb 2, 2010
- 1
- 0
mke wangu hapatani na wifi yake nifanyeje ili wapatane?kisa mke wangu alibananishwa na baba ikabidi aseme ukweli kuhusu alichokifanya wifi yake.
nisaidieni.
asante baba enock..................so wifi alikuwa na kisiri chake , mke wa jamaa akakisema kwa bamkwe au?