Ufm na ubaguzi, Udini na uchawa

Ufm na ubaguzi, Udini na uchawa

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
10,597
Reaction score
16,394
Kumekuwa msikilizaji mzuri wa ufm kwa baadhi ya vipindi vyake. Niliamua kupunguza vipindi vya kusikiliza baada ya kugundua kuwa wana uchawa mwingi sana.
Niliendelea kusikiliza vipindi vya mziki wa zamani siku za alhamisi na jumamosi.
Jana ikiwa ni boxing day na tukiwa bado katika msimu wa Xmas, zilipigwa nyimbo nyingi za Super volcano chini ya gwiji Mbaraka Mwishehe Mwaruka. Ajabu mtayarishaji na mtangazaji alikwepa kabisa kupiga wimbo wake maarufu sana wa Krismas! Je unajua ni kwa nini hakupiga?
 
Kumekuwa msikilizaji mzuri wa ufm kwa baadhi ya vipindi vyake. Niliamua kupunguza vipindi vya kusikiliza baada ya kugundua kuwa wana uchawa mwingi sana.
Niliendelea kusikiliza vipindi vya mziki wa zamani siku za alhamisi na jumamosi.
Jana ikiwa ni boxing day na tukiwa bado katika msimu wa Xmas, zilipigwa nyimbo nyingi za Super volcano chini ya gwiji Mbaraka Mwishehe Mwaruka. Ajabu mtayarishaji na mtangazaji alikwepa kabisa kupiga wimbo wake maarufu sana wa Krismas! Je unajua ni kwa nini hakupiga?
Me nafkr mdini ni wewe, kwasbb yeye hajakwambia kwann hajapiga, ww t umekurupuka unamshutumu, ko bila shaka ww ni mdini unataka kila mtu awaze na kufanya vile vilivyopo akilin mwako
 
Me nafkr mdini ni wewe, kwasbb yeye hajakwambia kwann hajapiga, ww t umekurupuka unamshutumu, ko bila shaka ww ni mdini unataka kila mtu awaze na kufanya vile vilivyopo akilin mwako
Mimi sio kiazi kama wewe,najua kutumia vizuri kichwa changu
 
Back
Top Bottom