Nyie akina nani?Mkuu sisi sio watu wa kulalamika hivyo.
Mambo madogo tu hayo.
Nakazia Hili Jambo Mpaka Mwisho Kabisa KabisaTukiwaambia dini ni kansa mbaya mnatuona wabaya🤔
Me nafkr mdini ni wewe, kwasbb yeye hajakwambia kwann hajapiga, ww t umekurupuka unamshutumu, ko bila shaka ww ni mdini unataka kila mtu awaze na kufanya vile vilivyopo akilin mwakoKumekuwa msikilizaji mzuri wa ufm kwa baadhi ya vipindi vyake. Niliamua kupunguza vipindi vya kusikiliza baada ya kugundua kuwa wana uchawa mwingi sana.
Niliendelea kusikiliza vipindi vya mziki wa zamani siku za alhamisi na jumamosi.
Jana ikiwa ni boxing day na tukiwa bado katika msimu wa Xmas, zilipigwa nyimbo nyingi za Super volcano chini ya gwiji Mbaraka Mwishehe Mwaruka. Ajabu mtayarishaji na mtangazaji alikwepa kabisa kupiga wimbo wake maarufu sana wa Krismas! Je unajua ni kwa nini hakupiga?
Mimi sio kiazi kama wewe,najua kutumia vizuri kichwa changuMe nafkr mdini ni wewe, kwasbb yeye hajakwambia kwann hajapiga, ww t umekurupuka unamshutumu, ko bila shaka ww ni mdini unataka kila mtu awaze na kufanya vile vilivyopo akilin mwako