Ufoooo Sarrrrooo

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
Nampenda sana huyu binti anaonekana ni jembe sana, hasa nyakati za uchaguzi
 
Nimeshakua naye field Igunga japo hatufahamiani lakini anajituma na haogopi kati ya madada wote mapaparazi niliowaona pale, hata sauti yake ina lafudhi halisia, kifupi hana makuu
 
Hahahaaa...kanikosha juzi wakati akitoa taarifa ya matokeo ya awali ya baadhi ya vituo kule Arumeru alikuwa akiongea akiwa ndani ya mtaro baada ya usafiri aliokuwa akiutumia kutumbukia mtaroni
 
huyu dada anapenda kazi yake na anaijua pia. huyu dada ni jembe. anachapa kazi si mchezo halafu sio mnafiki coz anareport kitu kama kilivyo bila kuogopa boss wake wala serikali. hata kwa kumuangalia tu mumewe anafaidi sana. Umefika wakati aletwe kwenye a/c halafu na sembeye aende field tuone atareport nini kama hata acha kazi siku hiyo hiyo. big up sana mdada.
 
Dada ninamkubali sana kuliko wote "nikiripoti kutoka hapa arumeru mimi ni ufuo saro wa itv........." i like it
 
nI KUMTAKIA HERI NA KUMSIHI ASIBWETEKE
 
Tumtendee haki dada yetu,binti yetu ufooo Sarooooooooooo naomba picha plzzzzzzzzzz
picha nehi, haki gani naomba udadavuzi, je una maoni atendewe nini, mimi naona ni kumpigia chapuo aingie tuzo zza waandishi bora wewe je?
 
[Hahahaaa...kanikosha juzi wakati akitoa taarifa ya matokeo ya awali ya baadhi ya vituo kule Arumeru alikuwa akiongea akiwa ndani ya mtaro baada ya usafiri aliokuwa akiutumia kutumbukia mtaroni]

Aliyekuwa mtaroni ni Mwanaidi mkwizu na sio Ufoo Saro Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…