Wakuuwa ItV kama mtasoma hapa naomba huyu dada apewe Tuzo!!!!!!!!!!!au mpaka wananchi wenyewe tuandamane
ili apate,tena jani huwa anaripoti akiwa katikati ya mabomu ya machozi wkt mwingine
na hata kwa mwaka jana,kuonyesha njia nitaanza hata kwa kumpa Zawadi kidogo kutambuamchango wake
Ufooooooooooooo Saroooooo we do love you mamaa,wewe JEMBE safi sana!NITAKUTAFUTA DADA YAKO TICHA.