Ufugaji samaki kibiashara

Ufugaji samaki kibiashara

Dennis74

Member
Joined
Jan 25, 2018
Posts
6
Reaction score
1
Karibu tukuhudumie masuala yote yahusuyo ufugaji samaki ,kuanzia Elimu ya ufugaji samaki, mbegu Bora ya vifaranga wa samaki na chakula Bora cha samaki.karibu shambani kwetu kongowe-kibaha . Pia waweza tufollow kwenye page yetu ya Instagram @ufugaji_samaki_kibiashara.

IMG_20190625_091207_7.jpg
IMG_20190625_090951_3.jpg
 
Umeleta tangazo ukaeleza kwa uchache ulitajuwa eleza kwa undani ili yule ambaye alikuwa hana nia ashawishike
Mfano
Najua cost ya bwawa inatofautiana kwa kila eneo ila kuna garama kama za hao samaki,chakula na mahitaji mengine uungeyaelezea pamoja na faida atakayo pata
 
Cost ya nin mkuu? Mana cost inategemea huduma gan wahitaji , kuna vifaranga,chakula,ushauri ufugaji samaki,
Mkuu elezea basi hata kidogo kama wadau walivyokuomba hapo juu,, mfano bwawa moja kulitengeneza na kuanza ufugaji inaweza kucost kiasi gani roughly, kwa maeneo ya hapo unapofanyia wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom