Naomba mtu anayefuga anisaidie experience, Ni kuku aina gani wazuri, wa nyama au wa mayai? Wa kienyeji ama wa kizungu ama chotara? Naweza kuanza na kuku wangapi? Na chakula wanakula kiasi gani kwa siku? Banda linahitajika ukubwa gani... kwa jumla mtaji nahitaji kiasi gani? Dawa, n.k
Naomba ushauri toka kwa wafugaji tu!
Naomba ushauri toka kwa wafugaji tu!