Ufugaji wa kuku, Je unalipa?

Prdy

New Member
Joined
Jan 30, 2019
Posts
1
Reaction score
1
Naomba mtu anayefuga anisaidie experience, Ni kuku aina gani wazuri, wa nyama au wa mayai? Wa kienyeji ama wa kizungu ama chotara? Naweza kuanza na kuku wangapi? Na chakula wanakula kiasi gani kwa siku? Banda linahitajika ukubwa gani... kwa jumla mtaji nahitaji kiasi gani? Dawa, n.k

Naomba ushauri toka kwa wafugaji tu!
 
Kuna nyuzi nyingi nyingi nyingi sana humu ndani ambazo wadau wameshazitolea ufafanuzi tena zingine ziko sticky hasa kwenye jukwaa letu lile la Ufugaji na kilimo. Majibu ya maswali yako almost yalishajadiliwa mule hebu fanya kuziptia kwanza ili kupata A, B, C
 
Fuga kuku wa nyama au mayai lengo likiwa ni kuuza nyama au mayai,mengine fuatilia nyuzi za ufugaji humu utapata mwanga zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…