Jedidiah Rugemalira
Member
- Apr 19, 2015
- 11
- 0
BUCHANAGANDE huyu jamaa hapo juu umeona umeisoma vyema I'd ya ubini wake!
upuuuzi mtupu....
hiyo hiyo elimu tunaitoa bure kwenye groups zetu...
saidieni watu acheni tamaa ya vihela vidogo vidogo,
wanaotaka lipo la bure na professionals wa kutosha....
wafugaj wa kutosha...
Nimeiona mkuu.
Siku hizi kila mtu anatafuta walipo vipofu awalize.
Kama anataka aanzishe chuo cha kuku Tanzania
We una utaalamu gani mpaka ufundishe kwa kulipwa????
Ungetueleza historia yako, uzoefu wako wa kufuga kuku na yote yanayofanana na hayo.
Hela ngumu, huwezi ipata kwa namna simple kama hiyo.