Ngosha Kogema
Member
- Oct 16, 2013
- 34
- 3
Wakuu,
katika harakati za kujikwamua kiuchumi nimeshawishika kuanzisha ufugaji wa kuku. Naomba mawazo yenu juu ya gharama za kuwahudumia kuku wa kienyeji na wale wa kisasa ipoje? Pia hatari ya kupata magonjwa ni kuku wepi wanastahimili? Na kwa wale wanaofuga tayari nitafurahi mkiniPM ili niweze kupata maarifa zaidi kabla zijaamua kuanza kufuga.
Karibuni kwa Ushauri.....
katika harakati za kujikwamua kiuchumi nimeshawishika kuanzisha ufugaji wa kuku. Naomba mawazo yenu juu ya gharama za kuwahudumia kuku wa kienyeji na wale wa kisasa ipoje? Pia hatari ya kupata magonjwa ni kuku wepi wanastahimili? Na kwa wale wanaofuga tayari nitafurahi mkiniPM ili niweze kupata maarifa zaidi kabla zijaamua kuanza kufuga.
Karibuni kwa Ushauri.....