Hosea Ben Member Joined Sep 22, 2014 Posts 69 Reaction score 15 Aug 24, 2015 #1 Ndugu zangu, Naomba mwongozo nataka kuanzisha ufugaji wa kuku wa mayai na nyama. Naomba kujua mahitaji muhimu na mambo ya kuzingatia katika ufugaji huo. Asante sana
Ndugu zangu, Naomba mwongozo nataka kuanzisha ufugaji wa kuku wa mayai na nyama. Naomba kujua mahitaji muhimu na mambo ya kuzingatia katika ufugaji huo. Asante sana
M Mcharo son JF-Expert Member Joined Mar 4, 2015 Posts 4,718 Reaction score 3,804 Sep 18, 2015 #2 ingiza neno UFUGAJI WA KUKU katika seach box ya JF utapata mada kibao