Mwenye kujua ufugaji wa kuku za mayaye sehemu ya pwani hususani Dar es salaam kati ya kuku 10,000 hadi 50,000 tafadhari atuelekeze tuende tukajifunze kabla ya kuanza uwekezaji tusije tukapoteza mtaji bure.
Hivi kwa joto la pwani dar es salaam in pertucular commercial farming poultry ya layers kama kuku 10,000+ ina wezekana? Hili nilishawahi kulifanya katika mikoa ya wenye ubaridi wa kiasi na joto la kiasi, mwenye ujuzi tafadhari na uzoefu kwasbb tuna wekeza tune ya 120m capital gradually.
Hivi kwa joto la pwani dar es salaam in pertucular commercial farming poultry ya layers kama kuku 10,000+ ina wezekana? Hili nilishawahi kulifanya katika mikoa ya wenye ubaridi wa kiasi na joto la kiasi, mwenye ujuzi tafadhari na uzoefu kwasbb tuna wekeza tune ya 120m capital gradually.