Nawapenda sana hawa viumbe,natamani nifuge angalau mmoja "as a pet",ni wanyama rafiki sana tofauti na watu wengi wanavyofikiri,kinachohitajika tu kuzifahamu tabia zao tu,ngozi ya mamba wa miaka mitano mwenye urefu wa 190cm huuzwa hadi $1500,na nyama yake pia ni kitoweo kizuri hivyo inaweza pia ikawa ni fursa nzuri ya biashara kwa wale wajasiriamali. kama unaelewa taratibu za ufugaji wa viumbe hawa pamoja na upatikanaji wa kibali nchini tafadhali msaada wako unahitajika hapa.
hivi nyama yake yaweza kuwa kama samaki?
Nawapenda sana hawa viumbe,natamani nifuge angalau mmoja "as a pet",ni wanyama rafiki sana tofauti na watu wengi wanavyofikiri,kinachohitajika tu kuzifahamu tabia zao tu,ngozi ya mamba wa miaka mitano mwenye urefu wa 190cm huuzwa hadi $1500,na nyama yake pia ni kitoweo kizuri hivyo inaweza pia ikawa ni fursa nzuri ya biashara kwa wale wajasiriamali. kama unaelewa taratibu za ufugaji wa viumbe hawa pamoja na upatikanaji wa kibali nchini tafadhali msaada wako unahitajika hapa.
hivi nyama yake yaweza kuwa kama samaki?
Mmmhh sasa si nyara za serikali naona kama ni kesi hiyoMkuu hiyo ni kwenye "International Market" na hiyo bei ni kwa ngozi daraja la kwanza.
nyama yake ni laini na kwa hapa nchini inapatikana kwenye mahoteli ya kitalii na wanaipata kwa kuagiza kutoka Kenya.
Nyama yake ni kama ya Kuku
vp mayai yake?