kufuga mbwa kibiashara ni nzuri sana ila lazima uwe na vitu viwili,
1. Kwanza kuzalisha hao mbwa na kuwauza wakiwa wadogo
2. Pili kuwa na altenative kama kampuni ya ulinzi ya kutumia mbwa ili basi mbwa wasipo nunuliwa na wakiwa wakubwa watumike katika biashara hiyo
Kuna rafiki yangu anatokea Kenya,mwaka jana alikuwa na business plan ya kufungua kernel ya mbwa.pia kuzalisha kama kitoweo,kwani siku hizi wakina HuNHA wamekuwa wengi Dar,na kila wanapoweka site/gereji ujue huo mtaa mbwa wataanza kupungua,kwani wana mbinu na mitego mingi ya kuwanasa mbwa.
Kuna rafiki yangu anatokea Kenya,mwaka jana alikuwa na business plan ya kufungua kernel ya mbwa.pia kuzalisha kama kitoweo,kwani siku hizi wakina HuNHA wamekuwa wengi Dar,na kila wanapoweka site/gereji ujue huo mtaa mbwa wataanza kupungua,kwani wana mbinu na mitego mingi ya kuwanasa mbwa.
Ha ha ha ha ha Hua ni noma hawa jamaa wamejenga majengo mawili hapa Arusha Hotel inayotazamana na Ofisi ya mkuu wa mkoa na jengo lingine la NSSF linatazamana na kanisa la Anglicana Christ Church maeneo yote mawili walikuwepo mbwa koko wengi [Mbwa wasiotunzwa,wasikuwa na mwenyewe] leo hakuna mbwa anayezuruza hovyo wote wameliwa na hua ha ha ha.
Hivi ukienda Kurasini pale polisi ukataka kununua mbwa kwa ajili ya ulinzi aliyefunzwa vizuri wanaweza kukuuzia?:target:
mkuu wale mbwa hawauzwi!kuna mdau ali post humu anao puppies anauza,ila kaingia gizani ghafla!tafuta post yake alieka mobile yake pia.
Mimi ninauza Mbwa aina ya Belgian Shepherd Malinois, nimebakiza puppies wa 3. Majike 2, Dume 1. Wamezaliwa wana wiki 1 mpaka leo trh 21 July 2012. wamezaliwa puppies wa5 wawili wapo kwenye oda.
Nitawatoa kwa mama yao wakifikisha mwezi na nusu. Napatikana Mbeya
ukitaka kujua tabia za mbwa hawa gonga hapa Belgian Malinois Breed Information & Pictures (Malinois, Chien de Berger Belge, Belgian Shepherd Malinois)
BEI: 150,000/=
Piga simu: 0713 952 744
mkuu mbeya mbali sana,mm ninao germany sherphered,ila nashangaa hawatak kuzaa!sijui kwa vila nataka kuuza!ni bness nzuri sana,manake puppy wa miez 2 unauza laki 3!wakizaliwa 10!dah full faida aisee!hakuna cha tra wala nn!
Mby kipande gani, nataka aende Uwanji akaaongeze ulinzi.
Uko mitaa gani sasa mkuu?
mkuu mbeya mbali sana,mm ninao germany sherphered,ila nashangaa hawatak kuzaa!sijui kwa vila nataka kuuza!ni bness nzuri sana,manake puppy wa miez 2 unauza laki 3!wakizaliwa 10!dah full faida aisee!hakuna cha tra wala nn!