shin gun wook
JF-Expert Member
- Sep 26, 2017
- 995
- 1,514
ili kulifuga uwe na Pesa ya kutosha ,chakula chake tu sio mchezoHao ni mbwa wa aina mbili, wana nguvu sana na ni very agressive, sifa yao namba moja usiwachanganye na mbwa wengine, na ukifanya hivyo tu basi jua huyo mbwa mwingine utamkuta kafa siku inayofwata!!
Mbwa anayefaa kufugwa bila masharti mengi ni german shefield, hawa wanatumika hata na polisi. Ni rahisi kuwafundisha tofauti na hao rotweiler na pitbull... Rottaweiler
View attachment 808761
Pitbull
View attachment 808763
yani ndo ukweli mtupu,mbwa wako wamekuzoea hawawezi kukufanya chochote ata kama wa njaa utajua tuJamaa nnahisi sio mfugaji.. Maana mbwa unayemfuga yupo so loyal kwa mmiliki kuliko hata binadamu mwenzie.
Wazoefu wanasema mbwa ni mnyama ambaye hata ukilala njaa hatokukimbia atalala na yeye na njaa ila sio mnyama kama Paka ukilaza njaa siku 1 tu ya 2 anakukimbia
Au ndio mumemuchukua mbwa wa Yule waziri?????Kila kona Mbwa… mbwa… Mbwa dili sana!
Bila laki 4 au 5 hupati mbwa mzuri aliyenona na mwenye sura nzuri. Mpaka laki 7 unanunua mbwa tena kijibwa tu aisee! Wa kijerumani na France ndo ghali mno.
Ila ukiwa mlevi usithubutu kufuga mbwa.Umetoka kazini unapitia mahali kula kula bia wakati home mbwa hajala wala kunywa maji. Anakugeuza ndafu *****.
Fuga mbwa ule bata mjini.Hela nje nje. Kama mlevi usifuge mbwa.
Atakutafuna mpaka makende yako.
yani ndo ukweli mtupu,mbwa wako wamekuzoea hawawezi kukufanya chochote ata kama wa njaa utajua tu
Hawa mbwa hata kama una watoto wadogo hushauriwi kuwafuga unaweza kuta kamla mtoto ha ha ha ha ha ni watata mno akikutana na hivi vi mbwa koko anahakikisha kakiua ndio anamwachiaFuga rotta weiler au pitpull alafu usimpe chakula siku mbili uone...
Nimecheki Doberman ni wazuriRottweiler na Pit bull halafu kuna Doberman au wale wa Siberia na Chow chow yaani hizi mbegu ni balaa ukifuga hawa hata watoto weka mbali
Hawa chow chow wapo bongo kweli mkuu?Rottweiler na Pit bull halafu kuna Doberman au wale wa Siberia na Chow chow yaani hizi mbegu ni balaa ukifuga hawa hata watoto weka mbali
Inawezekana wapo maana mbegu ni ya mchinaHawa chow chow wapo bongo kweli mkuu?
Hawa nawapenda sana kwanza ni inteligent halafu hawaogopi na wanasikiliza amri za mwenye mbwa na kumchunga kwa kila hatari hata kama ni mbwa wengineNimecheki Doberman ni wazuri
TrueUkiwa na mbwa, huyo anakuwa sehemu ya familia yako kwa maana ya bajeti, bila kufanya hivyo unakaribisha matatizo nyumbani. Ila mbwa wanasaidia sana nyumbani, kwani swala la vibaka nk utakuwa unasikia tu kwa majirani.
Aina hizo za biashara hazifai kwa nchi maskini ni kwa vile ni luxury fulani same as asali,vinahitaji high purchasing powerKilimo cha uyoga kinalipa sana....
Ufugaji wa sungura unalipa sana....
Ufugaji wa kwale unalipa sana....
Fuga mbwa ule bata mjini....
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Hichi kimbwa cha chini kimejaa kama kipiga chumaHao ni mbwa wa aina mbili, wana nguvu sana na ni very agressive, sifa yao namba moja usiwachanganye na mbwa wengine, na ukifanya hivyo tu basi jua huyo mbwa mwingine utamkuta kafa siku inayofwata!!
Mbwa anayefaa kufugwa bila masharti mengi ni german shefield, hawa wanatumika hata na polisi. Ni rahisi kuwafundisha tofauti na hao rotweiler na pitbull... Rottaweiler
View attachment 808761
Pitbull
View attachment 808763
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nimeleta Mbwa maskani ila ana week sasa hajabweka sijui nini shida?
Hahah dah![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Labda mbwa feki,wachina wamepiga fotokopi.