paka anamatumiz meng sana mkuu kuliko kumla
singapura,persian cat na british short hair pia nina sub species nafny na interbleeding mfno nimchukua paka somali cat nmchanganya na black cats kutoka dodomaKaka abaa4all unafuga paka wa jamii gani? Hawa hawa wa kutoka mbagala tandare??
Pili; weka wazi soko lao lipoje?
Uko sehem gani nije nikutembelee na pia ukihitaj huduma ya kutoa kizaz n.k ni pm .Nakupa hongera kwa kuthubutu kufuga paka wasiojua watakubezasio kila aina ya paka hutumika kwenye uchawi hpna mfano kuna green cats hawa wanauwezo na maajb makubwa kutambua kitu chchte kibaya hta wachawi wakiwaona hawa hawaji hyo nyumba
Hao ndo wale mababu wa mchana na paka wa usiku?sio kila aina ya paka hutumika kwenye uchawi hpna mfano kuna green cats hawa wanauwezo na maajb makubwa kutambua kitu chchte kibaya hta wachawi wakiwaona hawa hawaji hyo nyumba
Ndo element za uchawi nazozungumziasio kila aina ya paka hutumika kwenye uchawi hpna mfano kuna green cats hawa wanauwezo na maajb makubwa kutambua kitu chchte kibaya hta wachawi wakiwaona hawa hawaji hyo nyumba
karibu sana mkuu mm nipo nmewagawa baadhi wapo kiwalani na baadh wapo kongowe hii kutokna na ufinyu wa eneo lakini natarajia kuhamia eneo kubwa kigamboni ili niongeze uzalishajUko sehem gani nije nikutembelee na pia ukihitaj huduma ya kutoa kizaz n.k ni pm .Nakupa hongera kwa kuthubutu kufuga paka wasiojua watakubeza
Hongera sanaa unanikumbusha course moja nilisoma chuo inaitwa non-conventional animals ambao watu hawafug ila eanalipa kama mjusi ,mamba ,mbuni n.kpia kwa anaetak partnership ya ufugaji wa popo na bundi natarajia kuanza kat ya mwezi wa saba hv naweka mambo sawa pamoja na kujua utaalamu wake na kupata vibali, mnakrbishwa sana
Kweli asilimia kubwa ya watanzania tumevurugwa