Mkuu nitakutafuta nijue zaidi juu ya ufugaji wa paka napenda sana hawa viumbe. Na hapo kwenye popo ni vipi tunaweza kutengeneza pesa huku kwetu popo wanashinda kwenye miti yangu mpaka kero.ttzo kila kitu unaona uchawi kuna Soko zuri tu la bundi natafuta jins ya kuwafuga maana sasa hv wanahela balaa na hyo pia unaweza kufikiri uchawi hpo sijkwambia about popo unaweza kuwa milionea
mkuu ntafurah sana ukijiunga nami ktk kupt hela ya halali mkuu popo sasa hv mmoja anafika dollar 100 hvyo chukulia unapopo mia hii ni fursa mkuu.Mkuu nitakutafuta nijue zaidi juu ya ufugaji wa paka napenda sana hawa viumbe. Na hapo kwenye popo ni vipi tunaweza kutengeneza pesa huku kwetu popo wanashinda kwenye miti yangu mpaka kero.
ha ha haWe ulietoa huu uzi una kipaji,Nakushauri nenda Ze comedy waeleze kuhusu hili la kutujazia hayo manyau hapa jijini wakutafutie masoko!
Are u serious or ur joking?Ngudu wa jamii habari zenu.
nimeanza ufugaji wa paka nilianza na paka majike manne na dume moja sasa hv nina paka takribani mia hamsini na natarajia ikifika mwezi wa sita nitaweza kufikisha paka kati ya 200 -250.
Faida kubwa ya kufuga paka ni kuwa huwafugi kweny banda unawaachia wanlala ndn na hawachafui mazingira.
Pamoja na masoko nliyonayo pia kwa wanajamv weny kujua soko jingine la uhakika la paka aniPM ili tuweze kufanya biashara.
oda inaanzia paka kumi na kila paka ishirini nakupa discount kubwa.
na pia natoa elimu ya jinsi ya ufugaji mzur wa paka.
Nini kinaikuza? Ushirikina ?Biashara hii inakua kwa kasi sana na pesa nje nje kuliko hata gesi.
Utakuea unaelement ya uchawi
sometimes nawanunulia kwa kuwa wananiingizia hela but muda mwingne nawaacha wanaenda kujitfutia tu pia kuna hawa british short hair huwa nawapa extra care maana ni ghali sana na ngumu kuwapatanyama,samaki,dagaa utakuwa unawanunulia ww
yah paka huwa si wakufugwa tu huwa wanammbo meng mfno ngoz ya singapura inatengeneza vitu ving sanaNaamini wanao nunua hao paka kwa wingi lengo lao sio kwa kufuga tu maana wanakuwa wameshakuwa wakubwa sasa je matumizi ya paka wengi hivo ni yapi au wanaliwa??
Mkuu ongezea nyama kidogo na pcha ya hao catssio kila aina ya paka hutumika kwenye uchawi hpna mfano kuna green cats hawa wanauwezo na maajb makubwa kutambua kitu chchte kibaya hta wachawi wakiwaona hawa hawaji hyo nyumba
Hyo ya popo imekaaje? Mana hk nliko kuna popo saanamkuu ntafurah sana ukijiunga nami ktk kupt hela ya halali mkuu popo sasa hv mmoja anafika dollar 100 hvyo chukulia unapopo mia hii ni fursa mkuu.