ngoja nifatilie then ntakujulisha kama ni wa aina ganipaka wote wanamajina mkuu na aina hvyo naomba ujue wa aina gn nkupe hela
Huenda anamaanisha hawa mpaka mavi.paka wote wanamajina mkuu na aina hvyo naomba ujue wa aina gn nkupe hela
ttzo kila kitu unaona uchawi kuna Soko zuri tu la bundi natafuta jins ya kuwafuga maana sasa hv wanahela balaa na hyo pia unaweza kufikiri uchawi hpo sijkwambia about popo unaweza kuwa milionea
Ha ha ha!Huenda anamaanisha hawa mpaka mavi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]aisee na Mimi ninao sita wakubwa wawili wadogo 2 months wapo wanne
kwa anayehitaji aje pm tufanye biashara
mimi wameshanichosha kila movement ninayoifanya wako nyuma yangu na makelele juu,
Hahahahahahah...... kwa huu uchumi wa viwanda tutegemee bidhaa nyingi sana, sasa hao paka wana uwezo wa kutoa kilo ngapi kwa mmoja? coz nasikia paka ni wazuri sana kwa mishikaki. Nahitaji mrejesho wa haraka tufanye biashara.Ngudu wa jamii habari zenu.
nimeanza ufugaji wa paka nilianza na paka majike manne na dume moja sasa hv nina paka takribani mia hamsini na natarajia ikifika mwezi wa sita nitaweza kufikisha paka kati ya 200 -250.
Faida kubwa ya kufuga paka ni kuwa huwafugi kweny banda unawaachia wanlala ndn na hawachafui mazingira.
Pamoja na masoko nliyonayo pia kwa wanajamv weny kujua soko jingine la uhakika la paka aniPM ili tuweze kufanya biashara.
oda inaanzia paka kumi na kila paka ishirini nakupa discount kubwa.
na pia natoa elimu ya jinsi ya ufugaji mzur wa paka.
Ahahahahaahahahah kwa sauti ofisi nzimapaka unafuga free kuondosha gharama maana paka kw kula vzur hjmbo
Kuna mipaka hapa inazaa kila siku haina mwenyewe njoo uibebeKama unapka 30 kwako niambie basi nikupe hela hasa wale over melanin yani weusi sana ni deal kwa sasa
Hahahahahahttzo kila kitu unaona uchawi kuna Soko zuri tu la bundi natafuta jins ya kuwafuga maana sasa hv wanahela balaa na hyo pia unaweza kufikiri uchawi hpo sijkwambia about popo unaweza kuwa milionea
Mkuu hii biashara unaifanya kweli hadi leo au uliacha kuifanya?Kama unapka 30 kwako niambie basi nikupe hela hasa wale over melanin yani weusi sana ni deal kwa sasa
huu ni mwka wa 3 naaamini una data za kutosha unaweza ukamwaga ukipata nafasi.nazid kufanya kautafit nitakapokuwa tayar mkuu nitamwaga data humu
unauzaje paka kwa wateja wako bei za paka wako zipo vipi zinatofautiana au zipo sawakwann kk