Ufugaji wa paka

ttzo kila kitu unaona uchawi kuna Soko zuri tu la bundi natafuta jins ya kuwafuga maana sasa hv wanahela balaa na hyo pia unaweza kufikiri uchawi hpo sijkwambia about popo unaweza kuwa milionea

Hapo kwenye Popo weka darasa maana hapa home kwangu wanasumbua sana night wanafata matunda ya mti fulani, yaani ni kero. Weka darasa tupige hela mkuu.
 
Hapo kwenye Popo weka darasa maana hapa home kwangu wanasumbua sana night wanafata matunda ya mti fulani, yaani ni kero. Weka darasa tupige hela mkuu.
nazid kufanya kautafit nitakapokuwa tayar mkuu nitamwaga data humu
 
aisee na Mimi ninao sita wakubwa wawili wadogo 2 months wapo wanne

kwa anayehitaji aje pm tufanye biashara
mimi wameshanichosha kila movement ninayoifanya wako nyuma yangu na makelele juu,
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahahahahahah...... kwa huu uchumi wa viwanda tutegemee bidhaa nyingi sana, sasa hao paka wana uwezo wa kutoa kilo ngapi kwa mmoja? coz nasikia paka ni wazuri sana kwa mishikaki. Nahitaji mrejesho wa haraka tufanye biashara.
 
paka unafuga free kuondosha gharama maana paka kw kula vzur hjmbo
Ahahahahaahahahah kwa sauti ofisi nzima

Nimecheka hapo..."paka kwa kula vizuri hawajambo"[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

sent from iPhone 7+ using jamii forums mobile app
 
Huu Uzi umefanya nimecheka had I mbavu zinauma ila nimependa na kuona kula kitu waweza Fanya in fursa ya pesa
 
Kama unapka 30 kwako niambie basi nikupe hela hasa wale over melanin yani weusi sana ni deal kwa sasa
Mkuu hii biashara unaifanya kweli hadi leo au uliacha kuifanya?

Kama unaifanya na uko serious naomba kuona picha za mifugo yako (paka)

naomba kujua vitu vifuatavyo toka kwako kwa jinsi unavyowahudumia na kuwatunza..

1.unawalisha chakula kiasi gani na ni chakula gani?

2.wanalala wapi nikimanisha wanamabanda yao au vipi?

3.wakiumwa unawatibu kwa madawa gani na unajuaje paka anaumwa?

4.wanakaaje pamoja paka wako wote zaidi ya 200?

5.Muhimu naomba usisahau picha nasisitiza picha nione maana kama siamini yani.
 
unauzaje paka kwa wateja wako bei za paka wako zipo vipi zinatofautiana au zipo sawa

kama zinatofautiana ni kitu gani kinafanya bei zitofautiane toka paka mmoja had mwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…