K Kalago New Member Joined Mar 22, 2024 Posts 2 Reaction score 2 May 1, 2024 #1 Je, wataalamu mbatushauri nini kuhusu ufugaji wa samaki kibiashara ukihusianisha na mabadiliko ya tabia nchi kwa sasa?
Je, wataalamu mbatushauri nini kuhusu ufugaji wa samaki kibiashara ukihusianisha na mabadiliko ya tabia nchi kwa sasa?
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 May 1, 2024 #2 Ngoja waje kukupa muongozo... Cc: Mahondaw
BARA BARA YA 5 JF-Expert Member Joined Sep 11, 2009 Posts 1,174 Reaction score 835 May 4, 2024 #3 Fuga ki biashara kwa maana hakikisha unapata mbegu bora,Chakula na miundombinu mizuri.Soko la samaki halijawa baya sana na kama utazingatia hayo naona kabisa fursa ipo.
Fuga ki biashara kwa maana hakikisha unapata mbegu bora,Chakula na miundombinu mizuri.Soko la samaki halijawa baya sana na kama utazingatia hayo naona kabisa fursa ipo.
Zemanda JF-Expert Member Joined Jan 10, 2021 Posts 8,323 Reaction score 18,051 May 7, 2024 #4 Msiwe mnawaisha kutoa samaki humo kwenye mabwawa, acheni wakomae kidogo ili wawe na ladha.