guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,758
Wakuu,
Mada yahusika, katika tembea tembea yangu hasa mkoa wa Kagera nimeona faida za kiuchumi za hawa wadudu.
Wabaya wana wadhamini hawa wadudu kwa lishe na kimila, hivyo kwa kuwa hupatikana mara mbili kwa mwaka je kama ufugaji wa kuku au mbuzi,senene hawawezi kufugika na wanaleta tija?
Karibuni
Mada yahusika, katika tembea tembea yangu hasa mkoa wa Kagera nimeona faida za kiuchumi za hawa wadudu.
Wabaya wana wadhamini hawa wadudu kwa lishe na kimila, hivyo kwa kuwa hupatikana mara mbili kwa mwaka je kama ufugaji wa kuku au mbuzi,senene hawawezi kufugika na wanaleta tija?
Karibuni