Denis Albert
New Member
- Feb 17, 2019
- 1
- 0
Jamani naomba kuuliza hapa.
Hivi nini kinasababisha Gari kukausha Oil kwenye injini na wakati Injini haina demeji yoyote kusema labda inavujisha sehemu? Naomba kama kuna mwenye jibu anisaidie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi nini kinasababisha Gari kukausha Oil kwenye injini na wakati Injini haina demeji yoyote kusema labda inavujisha sehemu? Naomba kama kuna mwenye jibu anisaidie.
Sent using Jamii Forums mobile app