Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂Umenikumbusha mbali sanaa mkuu.Wale waliosoma shule zenye Cambridge syllabus kufunga tie ilikuwa sehemu ya maisha ya shule.
Sisi wa St Kayumba Kwamtogole, tumejifunza ukubwani. Wengine wanalipa watu ili wafungiwe tie,
Kuna reality show moja nilikuwa naagalia...View attachment 1397633
Wale waliosoma shule zenye Cambridge syllabus kufunga tie ilikuwa sehemu ya maisha ya shule.
Sisi wa St Kayumba Kwamtogole, tumejifunza ukubwani. Wengine wanalipa watu ili wafungiwe tie,
Mkuu, mwaka gani ? hapo ulamboniToka nimalize Milambo sijawahi kuvaa tie
,nakumbuka nilikuwa nanga katika ufungaji wa tie lkn baadae nikaja kuwa mwalimu wa baadhi ya form V
Mkuu hii in American style wengi ukifunga hivi wanahis umekosea kwan wamezoea ile British style.View attachment 1397633
Wale waliosoma shule zenye Cambridge syllabus kufunga tie ilikuwa sehemu ya maisha ya shule.
Sisi wa St Kayumba Kwamtogole, tumejifunza ukubwani. Wengine wanalipa watu ili wafungiwe tie,
Weka hiyo British style.... tuone wanafungaje..
Weka hiyo British style.... tuone wanafungaje..