Mtili wandu JF-Expert Member Joined Dec 15, 2012 Posts 8,257 Reaction score 11,499 Dec 26, 2023 #21 Au imejolock, hiyo gari ingiza funguo zungusha steling kidogo inaweza waka.
JituMirabaMinne JF-Expert Member Joined May 4, 2020 Posts 3,381 Reaction score 9,744 Dec 26, 2023 #22 makaveli10 said: JITU LA MIRABA MINNE Click to expand... Hii siyo ID yangu mkuu
Karne JF-Expert Member Joined Jun 13, 2016 Posts 8,118 Reaction score 13,547 Dec 26, 2023 #23 makaveli10 said: JITU LA MIRABA MINNE Click to expand... Huyu uliyemtag ni fundi baiskeli,Mtaalam wa magari ni JituMirabaMinne
makaveli10 said: JITU LA MIRABA MINNE Click to expand... Huyu uliyemtag ni fundi baiskeli,Mtaalam wa magari ni JituMirabaMinne
makorere JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 1,970 Reaction score 1,480 Dec 26, 2023 #24 Equation x said: Walikuja na kipimio chao, wa umeme, pamoja na wa injini; makundi kama matatu, wote hawakufanikiwa. wakachukua rimoti, control panel, na funguo kwenda kupima, lakini hawajafanikiwa. Click to expand... Badirisha starter mzee mimi yalishanikuta kwenye crown Athletic
Equation x said: Walikuja na kipimio chao, wa umeme, pamoja na wa injini; makundi kama matatu, wote hawakufanikiwa. wakachukua rimoti, control panel, na funguo kwenda kupima, lakini hawajafanikiwa. Click to expand... Badirisha starter mzee mimi yalishanikuta kwenye crown Athletic
makaveli10 JF-Expert Member Joined Mar 27, 2013 Posts 31,583 Reaction score 92,670 Dec 26, 2023 #25 JituMirabaMinne said: Hii siyo ID yangu mkuu Click to expand... Poa poa mzee
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Dec 26, 2023 #26 Ngoja waje kukupe muongozo...