johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Unajitesa bureAcha ujinga. Ccm mnakera sana.
Ungekuwa jirani na mimi hapa ningekuwekelea mawe ya kichwa .Unajitesa bure
Hizo finally tunaangalia bila umeme? Kaa Rudia kusoma ulichoandika na kisha edit!Ilani ya CCM inaagiza watanzania popote walipo wapate mawasiliano ya ndani na nje ya nchi kwa gharama nafuu kwa kadri inavyowezekana
TBC wanawaletea mubashara fainali za FIFA World Cup
Ikumbukwe Qatar Wana mchezaji mwenye asili ya Tanzania mh Akram Afif ambaye ni mtoto wa aliyekuwa Kocha mchezaji wa Simba SC mh Hassan Afif
Kazi Iendelee
Hahaha....... taratibu bwasheeUngekuwa jirani na mimi hapa ningekuwekelea mawe ya kichwa .
Karibu sanawamesema ni HD lakini naona chenga sema nn nampenda sana Dr Leakey
KBC(Kenya) na MBC(Malawi) wanaonesha ila Azam wamenyofoa chaneli hizo kwa sababu ya maudhui yasiyoruhusiwa nchini! Azam wajue kuwa chaneli husika tumezilipia na wanachokifanya ni wizi na utapeli kwani wao hutuambia tulipie chaneli zisizokuwa ndani ya kifurushi kwa ajili ya kuangalia mechi.Ilani ya CCM inaagiza watanzania popote walipo wapate mawasiliano ya ndani na nje ya nchi kwa gharama nafuu kwa kadri inavyowezekana
TBC wanawaletea mubashara fainali za FIFA World Cup
Ikumbukwe Qatar Wana mchezaji mwenye asili ya Tanzania mh Akram Afif ambaye ni mtoto wa aliyekuwa Kocha mchezaji wa Simba SC mh Hassan Afif
Kazi Iendelee
Unatumia king'amuzi gani?wamesema ni HD lakini naona chenga sema nn nampenda sana Dr Leakey
Upumbavu tu.... Hii 10fps ndio kitu TBC wanakaa wanapiga kelele?Ilani ya CCM inaagiza watanzania popote walipo wapate mawasiliano ya ndani na nje ya nchi kwa gharama nafuu kwa kadri inavyowezekana
TBC wanawaletea mubashara fainali za FIFA World Cup
Ikumbukwe Qatar Wana mchezaji mwenye asili ya Tanzania mh Akram Afif ambaye ni mtoto wa aliyekuwa Kocha mchezaji wa Simba SC mh Hassan Afif
Kazi Iendelee
Ni jambo jema!Unatumia king'amuzi gani?
Niwaangalia mida flani ni HD, yaan utadhani unaangalia super sport HD.
Katika hili TBC mnastahili pongezi
Ni HD kwelikweli sijaona HD ya kuishinda TBC hapa TZ, leo wametisha, QUALITY HD + STUDIO KALI KULIKO HATA AZAM.wamesema ni HD lakini naona chenga sema nn nampenda sana Dr Leakey
Dr Ricky ndiye MchambuziNi HD kwelikweli sijaona HD ya kuishinda TBC hapa TZ, leo wametisha, QUALITY HD + STUDIO KALI KULIKO HATA AZAM.
Ilani ya CCM inaagiza watanzania popote walipo wapate mawasiliano ya ndani na nje ya nchi kwa gharama nafuu kwa kadri inavyowezekana
TBC wanawaletea mubashara fainali za FIFA World Cup
Ikumbukwe Qatar Wana mchezaji mwenye asili ya Tanzania mh Akram Afif ambaye ni mtoto wa aliyekuwa Kocha mchezaji wa Simba SC mh Hassan Afif
Kazi Iendelee
Halafu huyo mzee ni muongo wa kutupwa. Sio vibaya maana anawachambulia wamama wa nyumbani wasiojua lolote kwenye soccer.Dr Ricky ndiye Mchambuzi
TBC wamejipanga