Ufunguzi wa Olympic Tokyo Japan: Bendera ya Tanzania imeingia peke yake

Ufunguzi wa Olympic Tokyo Japan: Bendera ya Tanzania imeingia peke yake

Ndebile

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2011
Posts
7,745
Reaction score
11,267
Wakuu wenye uelewawa wa haya mambo, naona bendera ya nchi yetu ameibeba mzungu mmoja ambaye sina uhakika kama ni mwanamichezo au kiongozi wa Tanzania! Je huu ndio utaratibu mpya au ndio hivyo tumekosa watu wa kushiriki?
Labda wanamichezo watafika kesho! Acha tuendelee kuwashangilia majirani zetu!
 
Dah Hakuna Uzi JF ulowahi kunichekesha kama Huu[emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sikuwa nampango wa kucheka lakini komenti yako imenichekesha maana huu uzi unachekesha kivipi..🤣🤣
 
naona bendera ya nchi yetu ameibeba mzungu mmoja ambaye sina uhakika kama ni mwanamichezo au kiongozi wa Tanzania!
Wanauambia ulimwengu namna tulivyo, kuna statement fikirishi ilisema wakituhamishia ulaya wakatuachia kila kitu, na wao wakaja huku bado tutaendelea kuwaomba misaada, leo yametimia🤣 usishangae kuna mtu alilipiwa kila kitu aende huko, amekwepa
 
Mi mwenyewe nimeshangaa wakati kina Simbu wanatakiwa wawe huko au uviko tatizo
 
Inaonesha kulingana na taratibu za kujikinga na uviko 19 wanamichezo wa tz watakwenda watakwenda kwa kuchelewa kwahiyo wasingewahi ufunguzi kwani michezo wanayofanya iko mbeleni
 
Nimesikia BBC na VoA washindani wetu watatu hawakuwa na hela ya kwenda mapema maana wanashindana tarehe 5au 8 hivi. Wakati huohuo Kenya walienda wiki tatu kabla kufanya maandalizi. Tusisahau kwamba nchi hii ni tajiri.
 
Back
Top Bottom