hb Mujahideen
Senior Member
- Nov 23, 2019
- 152
- 164
Tumesikia kauli mbalimbali za viongozi na Rais wetu kuhusu UFUNGUZI WA primary and secondary school
Kwa wale mlioko karibu na connection, Serikali ikitangaza tarehe tu, mtuwekee taarifa hapa
Pia nyie wa connection, mnadhani kwanini tareh haitangazwi? Tulisikia wakisema baada ya wiki mbili toka tareh moja ya UFUNGUZI WA Vyuo, lakini wiki mbili zimeisha hakuna kitu.
Mbona mambo kama mpira, miziki, tayari yanafanya kazi?
Nawashauri viongozi wajue kuwa kuna watu tunateseka mbaya sana, japo kweli Korona inaua na lazima iratibiwe vizuri ndo tufungue, lakini wajitahid kubalance kuokoa Hali za baadhi ya Watanzania, tutangaziwe hata tareh tuh, at least tujipe moyo kuwa ni siku fulani,
Elimu ni ufunguo wa maisha
Sent by using alshabaab blog
Kwa wale mlioko karibu na connection, Serikali ikitangaza tarehe tu, mtuwekee taarifa hapa
Pia nyie wa connection, mnadhani kwanini tareh haitangazwi? Tulisikia wakisema baada ya wiki mbili toka tareh moja ya UFUNGUZI WA Vyuo, lakini wiki mbili zimeisha hakuna kitu.
Mbona mambo kama mpira, miziki, tayari yanafanya kazi?
Nawashauri viongozi wajue kuwa kuna watu tunateseka mbaya sana, japo kweli Korona inaua na lazima iratibiwe vizuri ndo tufungue, lakini wajitahid kubalance kuokoa Hali za baadhi ya Watanzania, tutangaziwe hata tareh tuh, at least tujipe moyo kuwa ni siku fulani,
Elimu ni ufunguo wa maisha
Sent by using alshabaab blog