Hujalazimishwa nafikiri bado una tatizo la kujua ninini maana ya mijadalaLabda Nikuulize mtoa mada,,,lengo lako kutaka mtu mwenye imani yake kamili kufikiri nje ya box ni nini?? Au unamtaka atoke kwenye box lake aingie kwenye box lako??? Eti lilithy!!
Habari hii imefafanuliwa kwenye biblia ya WayahudiGoogle wametaja chanzo cha habari wametoa wapi?
Hakika ni nini na unajuaje hii ni hakika na si kisio tu?Mimi hapa tena zaidi ya mara 1000.....!na nimekuthibitishia kwa hakika kabisa....!!!
Hahaha. Yani ukinena wewe ndiyo inakuwa kweli?Hakika ni thabiti.. Najua kwakuwa nimenena mimi...
Tofautisha hakika na kweli... Na hapa hatumjadili Bill Gates... Unatoka nje ya mada... Mfano wako huo sio validHahaha. Yani ukinena wewe ndiyo inakuwa kweli?
Ukinena wewe ni Bill Gates una mabilioni ya dola za Kimarekani Benki za Uswizi hilo linakiwa kweli?
Umeandika maneno hayaTofautisha hakika na kweli... Na hapa hatumjadili Bill Gates... Unatoka nje ya mada... Mfano wako huo sio valid
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo na si hadithi za watu tu?Inasemekana kuwa kuna malaika ambao walisaidiana na Mungu kumuumba Binadamu na baadae waliamriwa kumtii binadamu huyo na wale waliokataa walionekana wameasi kambi walipelekwa kuishi majini ingawa hawajawahi kupunguziwa nguvu zao, mi kwa fikra zangu hawa ndo hao nyoka maana wanaweza kujigeuza kwa maumbo wanayoyataka..........na haijawahi kusikika walikuwa jinsia gani
Tofauti ya hakika na ukweli ni nini?Tofautisha hakika na kweli
Kwa nini unafikiri kuna kitu kinanichanganya?Ni ipi inayokuchanganya hapo
Tunaongozwa na vitabu Biblia na Quran inathibitisha uwepo wake.......lkn vilevile kuna wanazuoni wengine wanavitabu vyao ambavyo wao hawaandiki kama Mungu hayupo bali kazi yao kutuachia maswali sisi wasomaji kutafakari baada ya maandiko hayo kuhusu uwepo wa Mungu au lah.........ila hivyo vitabu nilivyovitaja vinathibitisha uwepo wake na si vinginevyoUnaweza kuthibitisha Mungu yupo na si hadithi za watu tu?
Vitabu hivyo havithibitishi Mungu yupo.Tunaongozwa na vitabu Biblia na Quran inathibitisha uwepo wake.......lkn vilevile kuna wanazuoni wengine wanavitabu vyao ambavyo wao hawaandiki kama Mungu hayupo bali kazi yao kutuachia maswali sisi wasomaji kutafakari baada ya maandiko hayo kuhusu uwepo wa Mungu au lah.........ila hivyo vitabu nilivyovitaja vinathibitisha uwepo wake na si vinginevyo
Kwa hivyo, mtu yeyote anayekuuliza, kuna kitu kimemchanganya?Kwakuwa umeuliza