Wangari Maathai JF-Expert Member Joined Aug 13, 2018 Posts 34,962 Reaction score 70,576 Nov 27, 2019 #121 mbwewe said: Km ukiilima kwa kufuata mstari uwezekano wa kutandika turubai upo....by the way hilo ni wazo langu linaweza kuwa sahihi au sio sahihi. Click to expand... ...sawa mkuu!
mbwewe said: Km ukiilima kwa kufuata mstari uwezekano wa kutandika turubai upo....by the way hilo ni wazo langu linaweza kuwa sahihi au sio sahihi. Click to expand... ...sawa mkuu!
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Nov 27, 2019 #122 Kweli hizo ni pesa chafu, kama wanaishia kucheza ngoma usiku kucha na kunywa supu... Hatari sana... Cc: mahondaw
Kweli hizo ni pesa chafu, kama wanaishia kucheza ngoma usiku kucha na kunywa supu... Hatari sana... Cc: mahondaw
Boveta JF-Expert Member Joined Jul 23, 2019 Posts 3,174 Reaction score 3,804 Dec 6, 2019 #123 Myahudi Jr II said: Wewe ndio unaesema kilimo cha internet, Wasukuma huku hawajuu hata smartphone, wanatumia michina ile ya zamani yenye masauti makubwa Hivi kila kilimo ni kilimo cha internet?? Click to expand... Wapi huko kaka?
Myahudi Jr II said: Wewe ndio unaesema kilimo cha internet, Wasukuma huku hawajuu hata smartphone, wanatumia michina ile ya zamani yenye masauti makubwa Hivi kila kilimo ni kilimo cha internet?? Click to expand... Wapi huko kaka?
K Kamwene Member Joined Nov 6, 2019 Posts 5 Reaction score 3 Dec 10, 2019 #124 Lets Share said: 🤝🤝🤝🤝 Vip una idea na mkoa wa Mbeya kujihusisha na hili zao? Click to expand... Mbarali pia kuna barabara ya kwenda madibira pia kuna watu wanalima na unakubali tu
Lets Share said: 🤝🤝🤝🤝 Vip una idea na mkoa wa Mbeya kujihusisha na hili zao? Click to expand... Mbarali pia kuna barabara ya kwenda madibira pia kuna watu wanalima na unakubali tu
CONTROLA JF-Expert Member Joined Sep 15, 2019 Posts 7,001 Reaction score 23,449 Jan 7, 2020 #125 Tukutane April
Mkweli77 JF-Expert Member Joined Jul 26, 2013 Posts 1,459 Reaction score 1,135 Jan 12, 2020 #126 True.... Tattoo said: Naujua sana ufuta. Upo kama bangi tu. Ukikuzingua unaweza kujuta sana. Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
True.... Tattoo said: Naujua sana ufuta. Upo kama bangi tu. Ukikuzingua unaweza kujuta sana. Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app