UGAIDI Tanzania sasa ni jambo jepesi.

UGAIDI Tanzania sasa ni jambo jepesi.

Mshinga

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
3,532
Reaction score
1,126
Kwa kawaida kesi za ugaidi zinawahusu watu hatari zaidi wanaoendesha vikundi hatari zaidi vya kutekeleza na kufadhili UGAIDI.
HAKUNA UBISHI KUWA HATA ASKARI WA MAREKANI AKISIKIA FLANI NI GAIDI ANATETEMEKA.
fikiria mtu kama Osama,Aniwari,Gailani(mtanzania).

HAPA TANZANIA hatukuwahi kuwa na kesi za ugaidi na tulizisikia tu ng'ambo NA TUKISIKIA GAIDI BASI ANASAKWA NA MAREKANI NA HATA MAREKANI HAWAMKAMATI KIRAHISI HUYO GAIDI.

ZILIKUWA NI TAARIFA ZA KUSHITUA SANA HAPA TANZANIA KUSIKIA KWA MARA YA KWANZA LWAKATARE NA LUDOVICK wakishitakiwa kwa kesi ya UGAIDI.kutokana na kesi za ugaidi wengine tuliamini ndio mwisho wa hawa watu.LAKINI WALISHINDA NA KUFUTIWA MASHITAKA YOTE YA UGAIDI.

Baadae tena Henry Kilewo na wenzake wanne(sina majina yao) WALISHITAKIWA KWA UGAIDI NA MAPEMA LEO wameshinda na kufutiwa mashitaka yao yote ya ugaidi.

SASA KESI YA UGAIDI INACHUKULIWA KUWA NI YA KAWAIDA KAMA KUIBA KUKU.
na hata hao wanaoitwa magaidi hawaogopwi kama yanavyoogopwa majambazi
MY TAKE:TUACHE MZAHA NA UGAIDI
 
Matukio ya kigaidi yamekuwa yakitokea , tena mengine yakiwa yana tracks za dola.Mara zote majibu ya serikali na matokeo yake huwa yanachekesha hata mtu asiyekwenda shule.Sasa hivi imekuwa rahisi sana wka raia yeyote kupredict ni nani kahusika na kujiaminisha ktk fikra zake.Matukio haya yameathiri raia wa ndani na nje.Na pia imetishia diplomasia yetu.Mfano ni mauaji ya Arusha ktk maandamano, yaliua raia wa Kenya, kesi ya ugaidi nayo imemshika raia wa kenya anayeambiwa ni kichaa, Bomu la Olasiti na tishio la uhai wa Balozi wa Papa, kushabuliwa kwa mapadri,kushsmabuliwa kwa waandishi, kushambuliwa kwa Masheikh, kuawawa kwa wachungaji, kudhurika kwa mawaziri kwa kinachosakiwa kuwa sumu, kufungiwa kwa Mwanahalisi na kushambuliwa Kubenea, sasa tukio lingine la Acid kwa raia wa uingereza.Hadi sasa hakuna aliyewajibishwa kwa haki.Yaani yeyote aliyewajibishwa kwa kuwa kweli alihusika na ushahidi ukajengwa vyema kabisa kiasi cha kuweza saidia polisi kushinda mahakamani.

Ninachopenda watahadharisha watawala na vyombo vya usalama ni kwamba, haya mambo si kwamba hayaonekani na kukera sana jumuia za kimataifa, makundi ya kidini, na kiusalama, mataifa fulani fulani.Kwa uzoefu wangu ktk kufuatilia miendeno ya upelelezi kimataifa na timing ya kuchukua hatua, nimeshuhudia mara nyingi sana samaki wadogo wakiruhusiwa pia ,kwa kiasi fulani hadi wao wenyewe wakaamini kuwa ni wajanja sana ktk kupita ktk ukaguzi wa wanausalama.Kitu wasichojua mara nyingi ni kwamba,kuna watu nyuma wanaoruhusu hayo yapite ili waweze fuatilia destination na source , na baadae waweze pata big fishes(The Dons), halafu don akishawekwa ktk ushahidi unaotosha mweka hatiani mahakamani, na si kama kwetu watu wanapelekwa mahakamani kwa ushahidi wa kitoto , na hivyo kuweja jeshi la polisi ktk hatari ya kushindwa na kudaiwa hela nyingi zaidi kumfidia muovu.Kisha timinga ya kutibua mtandao inafanywa kwa mbwembwe kubwa.Sijui kwetu kw akiasi gani wanakamata samakai wadogo na kutibua kabisa njia za kumshika samamki mkubwa, ila ni kwamba siku makundi yote yanafikia mahali yanaodhani sasa yanaweza fanya kitu kw akutuwajibisha, nadhani haitokuwa salama sana kwa usalama wa nchi yetu.

Ni imani yangu kuwa wadau wamenielewa na ni wazi kuwa ipo siku mengi yatatokea na haya majibu mepesi yatakuwa km ushahidi dhidi yetu,na hatutakuwa tena na majibu kwani majibu mepesi yaliyotufikisha hapa tulipo hayatatosa tena tuondoa hapo.Ndicho kipindi wengine watakapoamua wamweke nani kuwa kuwa kiongozi wetu.

Nawaomba wahusika kwa moyo wote kabisa, jamani fanyeni kitu hata kimoja ktk nyanja zote,ili basi haya makundi yaliyoathirka na ugaidi huu yaone kuwa dunia inaweza rudi ktk uhasilia na kuna vyombo ktk taifa.Kwa anayebisha,basi asubiri aone mida tutakapomaliza mikataba ambayo inagombaniwa sana kwa kiasi cha mataifa fulanifulani wanaona si muda muafaka wa kutibua hata km wanaumia sana.Ila ninavyofahamu kuna wadau wengine ktk haya maafa wana nguvu sana kuliko watu wanavyoweza dhania.wanaweza ligeuza hili taifa upside down.

Naamini ktk usalama wa hili taifa kuwa watu wenye weledi na uzalendo mkubwa tuu bado, na huu ndio muda wao wa kuwa heroes.Nasikitika sana kuona majirani zetu wakijenga urafiki wa haraka sana dhidi wakati CCM tumelala ktk kiburi kisicho na tija.Kuna kiburi kingine huwa sioni tofauti sana na cha CCM waki deal na Chadema.Tumeona Utabiri wa Wasira kuwa CDM itakufa ktk kipindi cha mwaka mmoja, ngoma imebuma,hii kubuma haina shida, ila vita na majirani ikibuma si salama sana.
 
Siku wataongea US, UK, france, vatican(pope), na UN itakuwa too late....tutakuwa na vitu vingi sana km vipaumbele.Inaweza kuwa kipindi tunapigana vita na majirani, kipindi upinzani unachukua nchi, kipindi magaidi na wauza unga wana nguvu sana na wamejichanganya sana na jamii yetu pana etc.Itakuwa ni kipindi hatuna tena thamani ktk macho ya mataifa makubwa kwani mikataba muhimu itakuwa imeshaingiwa na watakuwa wamejipanga sana huku wakiwa na hakika kuwa China hawezi wazidi tena.
 
Matukio ya kigaidi yamekuwa yakitokea , tena mengine yakiwa yana tracks za dola.Mara zote majibu ya serikali na matokeo yake huwa yanachekesha hata mtu asiyekwenda shule.Sasa hivi imekuwa rahisi sana wka raia yeyote kupredict ni nani kahusika na kujiaminisha ktk fikra zake.Matukio haya yameathiri raia wa ndani na nje.Na pia imetishia diplomasia yetu.Mfano ni mauaji ya Arusha ktk maandamano, yaliua raia wa Kenya, kesi ya ugaidi nayo imemshika raia wa kenya anayeambiwa ni kichaa, Bomu la Olasiti na tishio la uhai wa Balozi wa Papa, kushabuliwa kwa mapadri,kushsmabuliwa kwa waandishi, kushambuliwa kwa Masheikh, kuawawa kwa wachungaji, kudhurika kwa mawaziri kwa kinachosakiwa kuwa sumu, kufungiwa kwa Mwanahalisi na kushambuliwa Kubenea, sasa tukio lingine la Acid kwa raia wa uingereza.Hadi sasa hakuna aliyewajibishwa kwa haki.Yaani yeyote aliyewajibishwa kwa kuwa kweli alihusika na ushahidi ukajengwa vyema kabisa kiasi cha kuweza saidia polisi kushinda mahakamani.

Ninachopenda watahadharisha watawala na vyombo vya usalama ni kwamba, haya mambo si kwamba hayaonekani na kukera sana jumuia za kimataifa, makundi ya kidini, na kiusalama, mataifa fulani fulani.Kwa uzoefu wangu ktk kufuatilia miendeno ya upelelezi kimataifa na timing ya kuchukua hatua, nimeshuhudia mara nyingi sana samaki wadogo wakiruhusiwa pia ,kwa kiasi fulani hadi wao wenyewe wakaamini kuwa ni wajanja sana ktk kupita ktk ukaguzi wa wanausalama.Kitu wasichojua mara nyingi ni kwamba,kuna watu nyuma wanaoruhusu hayo yapite ili waweze fuatilia destination na source , na baadae waweze pata big fishes(The Dons), halafu don akishawekwa ktk ushahidi unaotosha mweka hatiani mahakamani, na si kama kwetu watu wanapelekwa mahakamani kwa ushahidi wa kitoto , na hivyo kuweja jeshi la polisi ktk hatari ya kushindwa na kudaiwa hela nyingi zaidi kumfidia muovu.Kisha timinga ya kutibua mtandao inafanywa kwa mbwembwe kubwa.Sijui kwetu kw akiasi gani wanakamata samakai wadogo na kutibua kabisa njia za kumshika samamki mkubwa, ila ni kwamba siku makundi yote yanafikia mahali yanaodhani sasa yanaweza fanya kitu kw akutuwajibisha, nadhani haitokuwa salama sana kwa usalama wa nchi yetu.

Ni imani yangu kuwa wadau wamenielewa na ni wazi kuwa ipo siku mengi yatatokea na haya majibu mepesi yatakuwa km ushahidi dhidi yetu,na hatutakuwa tena na majibu kwani majibu mepesi yaliyotufikisha hapa tulipo hayatatosa tena tuondoa hapo.Ndicho kipindi wengine watakapoamua wamweke nani kuwa kuwa kiongozi wetu.

Nawaomba wahusika kwa moyo wote kabisa, jamani fanyeni kitu hata kimoja ktk nyanja zote,ili basi haya makundi yaliyoathirka na ugaidi huu yaone kuwa dunia inaweza rudi ktk uhasilia na kuna vyombo ktk taifa.Kwa anayebisha,basi asubiri aone mida tutakapomaliza mikataba ambayo inagombaniwa sana kwa kiasi cha mataifa fulanifulani wanaona si muda muafaka wa kutibua hata km wanaumia sana.Ila ninavyofahamu kuna wadau wengine ktk haya maafa wana nguvu sana kuliko watu wanavyoweza dhania.wanaweza ligeuza hili taifa upside down.

Naamini ktk usalama wa hili taifa kuwa watu wenye weledi na uzalendo mkubwa tuu bado, na huu ndio muda wao wa kuwa heroes.Nasikitika sana kuona majirani zetu wakijenga urafiki wa haraka sana dhidi wakati CCM tumelala ktk kiburi kisicho na tija.Kuna kiburi kingine huwa sioni tofauti sana na cha CCM waki deal na Chadema.Tumeona Utabiri wa Wasira kuwa CDM itakufa ktk kipindi cha mwaka mmoja, ngoma imebuma,hii kubuma haina shida, ila vita na majirani ikibuma si salama sana.

Itakavyoendelea ni kuwa JK vitakuja mtesa hivi hivi vitu huko mbeleni (yaani inawezekana wanawe wakaja kupigwa mabwemapanda kama ulimboka, kumwagiwa tindikali kama waingereza). Ila kwa sasa kwa sababu anasimamia haya yafanyike kwa baraka zake ndiyo maana haoni haja kuwaumbua watu aliowatuma.
 
Itakavyoendelea ni kuwa JK vitakuja mtesa hivi hivi vitu huko mbeleni (yaani inawezekana wanawe wakaja kupigwa mabwemapanda kama ulimboka, kumwagiwa tindikali kama waingereza). Ila kwa sasa kwa sababu anasimamia haya yafanyike kwa baraka zake ndiyo maana haoni haja kuwaumbua watu aliowatuma.

Haha..ndivyo inavyokuwa..unavyojenga systema ya kupoteza ushihidi, tesa wengine, etc ndivyo unavyojenga basi ya mwingine kuitumia agaist you when ukiwa nje ya system.

Km haya yana barak aya JK ima sure JK analia sana kuliko mkapa.Mkapa kaweza fix mambo sana.Jk kamsingizia mengi sana ktk "slandering schemes zake" hadi watanzania wakafikia kumuona sana hana jipya na yeye ndie shida,si mkpa wala watendaji wake, wala CDm, wala Mfumo Kristu.Ni yeye na mrafiki zake wasio na somy wala haya kufanya uovu na kusema wapo karibu naye hawawezi wajibishwa.

JK atalia sana akitoka km Raia ajae ataamua safisha uchafu na kuwadhibu waovu, lamiza atamdaka JK, JK atalia sana kuwa anachukiwa, anaonewa,mbona yey hakumfanyia mkapa,Mkpa atamwambia wazi kuwa vile JK hakuweza pamoja na nia yake.
 
Back
Top Bottom