Uganda: Apata ulemavu katika ajali iliyomhusisha mtu mwenye hadhi ya kidiplomasia, aomba Ubalozi wa Marekani kumpa msaada

Uganda: Apata ulemavu katika ajali iliyomhusisha mtu mwenye hadhi ya kidiplomasia, aomba Ubalozi wa Marekani kumpa msaada

The Sheriff

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2019
Posts
747
Reaction score
2,112
Raia mmoja wa Uganda anayefahamika kwa jina la Asuman Lukwago anaomba msaada kutoka kwa Ubalozi wa Marekani baada ya kupata ulemavu katika ajali iliyotokea Februari mwaka 2024 iliyomhusisha mwanadiplomasia wa Marekani.

Kwa mujibu wa Lukwago, hajapokea msaada wowote licha ya kupata gharama za matibabu kutokana na ajali hiyo. Kwa upande wao, Polisi wa Usalama Barabarani wamethibitisha kuwa wamepokea taarifa kuhusu ajali hiyo na wameomba ufafanuzi kuhusu jinsi ya kushughulikia suala linalomhusisha mtu mwenye hadhi ya kidiplomasia.

Polisi wamependekeza Lukwago kufungua malalamiko katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma, wakibainisha kuwa mwanadiplomasia huyo ndiye aliyekuwa na makosa.

 
Back
Top Bottom