uganda beauty girls








nani kasema uganda hakuna watoto wakali?
haya kula na macho inaruhusiwa.
 


Hivi kumbe miaka hiyo ya 1959 walikuwapo warembo hivi!
Walipakaa AMBI nini?
 
Looh huyo kwenye picha ya nne juu kabisa ANA TEGEEE HILOOO.... Duh kanikumbusha Gazeti la Sani la enzi zile "BONTA KUNA NINI???"
 
Sijui namatatizo ya MACHO au kwa vile nimependa tayari....sioni kitu hapo juu kawaida mno pozi nyingine kama komedi. Mmoja ana tege kama beki wa taifa stars
 
Sijui namatatizo ya MACHO au kwa vile nimependa tayari....sioni kitu hapo juu kawaida mno pozi nyingine kama komedi. Mmoja ana tege kama beki wa taifa stars
kuna watu wanazimia tege mkuu😛
 
wengi wao wamenyooka kama mishumaa

nway ni wazuri kwa ile stairi ya arabuni
 
daaah hilo bonge ndo mambo yangu hayoooooooo
 
mmmh if i didnt know better ningeuliza jamaa wa utamu kahamia humu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…