uganda beauty girls

jamani humu kumekuwa facebook sasa!??
weka picha za maana pliz!!!
 
Lol!....unankumbusha enzi zileeeeee mie kijana, nakata mitaa ya Kmpl!
 
Hakuna anayelalamika NDEFU. Watz nimewakubali manake zile za kusoma tunalalamika NDEFU lakini kuangalia tu! kila m2 asema CUTE. Si mbaya!
 
Duuh!!! ngoja nikachukue mawani yangu
 
ok ni wazuri but hawaizidi 500/-
Conquest-ukwaju chachandu au juice
 
Hizo picha ni nzuri na warembo nimewaona. Wanajamii forums jitahidini kutoa picha na sio kutuletea mapicha yatakayopelekea jamii forums yetu kufungiwa kama Ze Utamu.
 
Hawa watakuwa Wanyankole (Mchanganyiko wa Wabaganda na Wanyarwanda).
 
Jamani watoto wa kibongo mpo/wapo? nakumbuka kuna wakati walikuwepo - hebu aliye nao atukumbushie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…