UGANDA: Besigye ametoka kizuizini lini mpaka kuapishwa

UGANDA: Besigye ametoka kizuizini lini mpaka kuapishwa

MWAKISALU

Senior Member
Joined
Nov 1, 2013
Posts
100
Reaction score
46
Najiuliza nashindwa kupata majibu kwamba ilisemekana kuwa Kizze Besigye alikuwa kizuizini mara ameapishwa jana alitokaje chini ya ulinzi mpaka kwenda kuapishwa?

Na aliapishwa na nani?
 
Najiuliza nashindwa kupata majibu kwamba ilisemekana kuwa kizze Biesigwa alikuwa kizuizini mara ameapishwa jana alitokaje chini ya ulinzi mpaka kwenda kuapishwa? Na aliapishwa na nani?
Alikuwa kizuizini akatoka kizuizini muda kitambo kidogo, juzi ndio akajiapisha kisha akapelekwa kizuizini tena
 
Back
Top Bottom