Siku mbili zijazo tutasiki wakenya mnamwaga matusi kwa Museveni. Wakenya sio wa kuaminika kabisa.
sidhani kama kuna siku wakenya walimtukana mseveni kwa mambo haya ya deals...mfano ni lile bomba la mafuta.we accepted his desicion and we moved on from that.fyokofyoko zingine atalalia matusi tuKama yapi ambayo yasiyo stahili? Mtu ana uhuru wa kubadilisha mawazo yake. Anaweza kuamua leo napita Kenya, kesho akasema no, napita njia nyingine, kosa liko wapi hapo?
Mbona kama unaimba KANINDO?? [emoji23]Biashara haina cha huo upuzi mnaita undugu mliodanganywa wa kijamaa, mnafaa muamke na kuelewa dunia ya sasa haina muda na hayo mambo. Kwanza nuna halafu tia mezani kadi zako nitie zangu basi, hamna cha kukenua meno. Sisi huwa hatusubiri kupendwa, tunawekeza kwa vitendo halafu wenye akili watufuate, hutaona tukijikomba komba kama mfanyavyo.
Nadhani husomi magazeti ya kwenu. Hukusoma walivyo mkaanga Museveni alivyo pititisha bomba Tanzania? Halafu wakamsifia alivyo mtetea Kenyatta na ICC case, baada ya hapo wakamponda alivyo kataa kusign EPA.sidhani kama kuna siku wakenya walimtukana mseveni kwa mambo haya ya deals...mfano ni lile bomba la mafuta.we accepted his desicion and we moved on from that.fyokofyoko zingine atalalia matusi tu
huezi kutumia opinion ya jamaa mmoja anayeandika kwenye gazeti akitafuta hela kusema wakenya walimtukana museveni...trust me wakenya wakikutukuna utajua,waulize cnn,waulize wanigeria.uhuru mwenyewe alilaia alivyodub na pia hili sakata la mahindi..lazima utafeel kweli hapa natukanwa juu itakua wazi tu bila unafiki.Nadhani husomi magazeti ya kwenu. Hukusoma walivyo mkaanga Museveni alivyo pititisha bomba Tanzania? Halafu wakamsifia alivyo mtetea Kenyatta na ICC case, baada ya hapo wakamponda alivyo kataa kusign EPA.
Nadhani husomi magazeti ya kwenu. Hukusoma walivyo mkaanga Museveni alivyo pititisha bomba Tanzania? Halafu wakamsifia alivyo mtetea Kenyatta na ICC case, baada ya hapo wakamponda alivyo kataa kusign EPA.
Are you nuts nyang'au .meanwhile, danganyika wanaendelea kudangayika...bongolala....stupidest people in Africa...
Usitulaumu kwa kazi nzuri tuliyoifanya huko siku za nyuma. Waganda wanajuwa kushukuru kwa mema waliyo tendewa. Sasa tukija kwa ndugu zetu wakenya ile methali ya "tenda wema nenda zako usingoje shukrani" mnaipa maana halisi.Bora sisi tulimkaanga kwa maoni ya magazeti, nyie ndio mngekua personal hadi fika, ikiwa nilisoma eti rais wenu alibembeleza hadi kuanza kutaja damu iliyomwagika wakati wa vita dhidi ya Amini. Hebu fikiria hayo yote halafu itokee Muzeveni bado achague Kenya, yaani nawaza hapa nakosa jibu.
Yaani bora hivyo bomba lilipitia kwenu maana ni wazi hata mngejitoa kwenye muungano huku mkitokwa na mapovu balaa.
eti nani😱Wazee wa flying toilets... JPM kakutana na Balozi wa Uturuki kwa mazungumzo ya faragha. Ngoma bado mbichi. Ninauhakika tunagawana nusu kwa n nusu market ya Uganda.
Umeandikia kikorea au kimombo kaka...Are you nuts nyang'au .
Do you wanna get married soon?
We , you-call "danganyika" can give u a suitable husband to hold u until your menopause.
Am I clear?[emoji15]
Nimeipenda hii hoja yako. Imeonyesha ukomavu kwa kiasi fulani.Nimependa the way Uganda anacheza na akili za nchi hizi mbili....
Usishangae in the years to come reli ikapita Tz kama kawaida na hii itawapa power waganda katika kukubaliana level of Tax coz itakuwa na advantage of the both routes...
Tulizoea Uganda ni ya kulamba nchi nyinginezo miguu kwa sababu ni land locked lakini ukiangalia kwa sasa hali inaenda kubadilika...what a nice move
endelea kuipenda. dreams valid. pengine karne ijayoNimeipenda hii hoja yako. Imeonyesha ukomavu kwa kiasi fulani.
Mkuu mimi ni mtanzania na hii ni nchi yangu huyo mtu niliemjibu umeona matusi anayotukana watanzania? Au wewe unaona sawa? Na sio mara moja ni.mara nyingi sana sasa kuna ubaya gani kumjibu? Au ana haki gani yeye ya kuongea hayo anaoyoongea halafu mimi nifurahie na wewe hayo uliyoandika hapo juu unaona sawa?Wamekukosea nini au genye unataka Bwana... mkokosa wanaume bar hasira mnaleta jf na kusabisha jf ionekane ya wapumbavu. .. hivi unaweza kuwasomea uliyoandika hapa kwa wanao? Hebu kua
Biashara haina cha huo upuzi mnaita undugu mliodanganywa wa kijamaa, mnafaa muamke na kuelewa dunia ya sasa haina muda na hayo mambo. Kwanza nuna halafu tia mezani kadi zako nitie zangu basi, hamna cha kukenua meno. Sisi huwa hatusubiri kupendwa, tunawekeza kwa vitendo halafu wenye akili watufuate, hutaona tukijikomba komba kama mfanyavyo.