Uganda inasema inalizingatia vyema ombi la Israel kuwachukuwa wahamiaji 500

real G

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2013
Posts
5,227
Reaction score
5,299
Uganda inasema inalizingatia vyema ombi la Israel kuwachukuwa wahamiaji 500 kutoka Eritrea na Sudan ambao mamlaka nchini Israel zimewakatalia maombi yao ya ukimbizi, kwa mujibu wa Waziri wa Wakimbizi wa Uganda, Musa Ecweru, ambaye ametoa uthibitisho wa kwanza kuhusu uvumi uliokuwa umezagaa wa utayarifu wa taifa hilo la Afrika Mashariki kujitosa kwenye kadhia ambayo imekosolewa vikali duniani kote.




Chanzo: DW
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…