Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Mlitaka jaribu huu upuuzi Loliondo mkatulizwa!Hawa wafugaji wa kipokot sio watu wazuri kabisa, nadhani ilifaa iwe 'disarmament' ya kwa pamoja, pande zote mbili za Kenya na U.G. Karamajong wa U.G ndio walikuwa wanawauzia waturkana silaha, ambazo wao walikuwa wanazitoa S.Sudan. Unavuka boda na ngombe mmoja unarudi na AK-47. Sasa wakaramajong wamepokonywa zao na wamebaki 'vulnerable'. Ni jambo nzuri kwamba mazoea yao ya kuingia Kenya kuiba mifugo ya wapokot yatapungua ila adui zao wa damu wapokot wanavopenda visasi utulivu wa kudumu kwenye mpaka hautapatikana hivi karibuni.
lakini bomba limeamisha with good reasons on Uganda sideTusisahau Museveni ametaifisha kiziwa cha migingo..na kuzidisha akahamisha bomba la mafuta na kuwapea Tz, yaani huu urafiki upo upo tu..Sio wa kweli
Huu muungano wetu una shida sana!!!!Ndio, soma taarifa na maneno ya huyo waziri kwanza sio unaanza tu na comment yangu. Au umepumbazwa na kichwa cha mada ambacho hakiendani na taarifa? ..... any Kenyan pastrolist who enters the country while armed. Hao Karamajong walichofanya nikupokonywa bunduki zote na serikali ya Uganda, wao wenyewe walikuwa wanaingia Kenya kuiba mifugo na hadi wanaua. Hizi jamii tatu za Pokot, Turkana na Karamajong(U.G.) kwao wizi wa mifugo ni utamaduni wao. Tena kwao ni sifa, vijana wakifika umri wa kuwa wanaume lazima wakaibe, wakioa, hivyo hivyo.
wewe una sumu sana!.y??Tusisahau Museveni ametaifisha kiziwa cha migingo..na kuzidisha akahamisha bomba la mafuta na kuwapea Tz, yaani huu urafiki upo upo tu..Sio wa kweli
Hapo ni lazima disarmament ifanyike ug na kenya.Hapa kunashida sababu hao bandit kutoka pokot ni vichwa maji na tena kifo ni kitu cha kaiwada sana kwao.....sasa itabidi wasuruhishe haya mambo na waganda bila ya vita sababu raia wa mipakani ndio wataumia
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio, soma taarifa na maneno ya huyo waziri kwanza sio unaanza tu na comment yangu. Au umepumbazwa na kichwa cha mada ambacho hakiendani na taarifa? ..... any Kenyan pastrolist who enters the country while armed. Hao Karamajong walichofanya nikupokonywa bunduki zote na serikali ya Uganda, wao wenyewe walikuwa wanaingia Kenya kuiba mifugo na hadi wanaua. Hizi jamii tatu za Pokot, Turkana na Karamajong(U.G.) kwao wizi wa mifugo ni utamaduni wao. Tena kwao ni sifa, vijana wakifika umri wa kuwa wanaume lazima wakaibe, wakioa, hivyo hivyo.
Hata kama mtu apo na bunduki, suluhu sio kupiga risasi..Huu ni unyama wa ajabu..Tanzania hata ukipatikana na mabomu unapelekwa kortini unajibu mashtaka..Yaani Magufuli ni mtu aliye na utu rohoni yake..Hawezi toa amri kama hii akilenga binadamu kama yeye
Hahahaaa!, za uso nazo?.Kweli kabisa, kuna siku Jiwe alisikia kwamba kuna vifaranga vimetiwa moto pale Namanga aisee alihuzunika sana hakula kwa siku tatu. Hata zile habari za bill kubwa ya Tundu Lissu pale hospitalini Nairobi ilimpa vidonda vya Tumbo. Mzee ana roho nyeupe kama pamba ni kama malaika aliyetua duniani dakika hii hii kutoka mbinguni.
Jiwe mwenzako hata wananchi mkifa mfe tu yeye hataki tu kukoselewa, kwake hata wananchi wakifa we pongeza tu hapo atakuelewa.Museveni hataki nyangau kwake. Angalau jiwe anawashika wavuvi na kuwashtaki pamoja na kuchoma vifaranga vilivyo na magonjwa kutoka kenya..
Hii amri ya museveni imepita mipaka afadhali uncle magu yeye na utu
====
A Ugandan minister has given a shoot-to-kill order against any Kenyan pastoralist who enters the country while armed.
The State Minister for Karamoja Affairs, Mr Moses Kizige, gave the order to Uganda People’s Defence Forces (UPDF) in Amudat during the celebrations to mark National Resistance Movement day on January 26.
He said that while the government had disarmed Karimojong warriors, their peace was being threatened by armed Pokot and Turkana cattle rustlers from Kenya and South Sudan.
“The government didn’t disarm the Karimojong to allow armed pastoralists from neighbouring countries to disturb them. We shall now start killing them to save the lives of our harmless people in Karamoja,” he said.
Mr Kizige, however, said that Uganda was ready to help disciplined neighbours.
The celebrations under the theme: “A moment of glory that set a new chapter for unity, peace and prosperity in Uganda,” were the first to be held in Amudat District.
Amudat Resident District Commissioner Robert Adyama urged leaders to respect national functions.
He said that through such functions, the public remained informed on government policies.
Source: Daily Monitor