mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,227
- 6,670
Ili kufikia lengo la Dira ya Maendeleo ya 2040, Uganda, kutahitajika nchi iwe uwezo wa umeme wa 41, 738 MW na kwa matumizi ya watu 3,668 kWh. Hata hivyo, uzalishaji uliopo kwa sasa (hydro, biomass, nk) hauwezi kwa mahitaji ya Dira hiyo. Kwa hiyo, ili kupunguza upungufu wa nishati, mkazo utahusu maendeleo ya nguvu za nyuklia ili kuzalisha 2000MW.
Swali, iwapo huo mpango utawezekana, Mradi wa Bwawa la Nyerere utakuwa na nafasi gani? Tunaambiwa tuna madini ya uranium Tanzania, naamini ni wakati mwafaka wa kufikiria uzalishaji wa umeme wa nuklia kuepuka changamoto za umeme wa maji unaotegemea kiwango cha mvua.
Swali, iwapo huo mpango utawezekana, Mradi wa Bwawa la Nyerere utakuwa na nafasi gani? Tunaambiwa tuna madini ya uranium Tanzania, naamini ni wakati mwafaka wa kufikiria uzalishaji wa umeme wa nuklia kuepuka changamoto za umeme wa maji unaotegemea kiwango cha mvua.