Uganda: Mabasi ya Volcano na Oxgen yagongana na kusababisha vifo vya watu sita

Uganda: Mabasi ya Volcano na Oxgen yagongana na kusababisha vifo vya watu sita

Donnie Charlie

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2009
Posts
16,908
Reaction score
19,123
Watu sita wamefariki papohapo baada ya Basi la Kenya la Kampuni ya Oxygen kugongana na Basi la Rwanda la Kampuni ya Volcano katika Kijiji cha Rwahi kinachounganisha Wilaya za Ntungamo na Rukiga magharibi kwa Uganda,Polisi Uganda wamethibitisha.

20221230_145836.jpg
 
Leo nimekulupuka haswa kama Blaza K
Nimeshangaa volcano na oxygen zimegongana kivipi na kuuwa kumbe ni mabasi

Pole yao wameumaliza mwaka
 
Back
Top Bottom