Uganda: Marubani wa shirika la ndege kulipwa milioni 42 kila mwezi

Uganda: Marubani wa shirika la ndege kulipwa milioni 42 kila mwezi

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Serikali ya Uganda imesema marubani watakao ajiriwa ktk shirika la ndege la Uganda watakuwa wakiweka kibindoni mshahara wa kiasi mil 42 Ush na wasaidizi wao (first officer) watakuwa wakilipwa 38 mil Ushi. serikali ya Uganda ambao wapo ktk mchakato wa kulifufua shirika la ndege la Uganda ambapo tayari serikali ya Uganda imesha wuweka order ya ndege nyingine kubwa aina ya airbus A320 Neo pamoja na kununua ndege 2 aina ya bombadier ambazo zinatarajiwa kuwasili mwezi april tarehe 8 .
 
Kama hiyo kazi haina mipaka wabongoo wachangamkie fursa m38,42 sio mchezo
 
Hahhahahaha

Uganda nao wameona wafuate nyayo za Magufuli
Sisi na uganda wote ni vipofu! Aliyekuwa akitushika mkono kutuvusha barabara ni mhuni flani hivi mvuta bhange wanamuita Mr slim!! Sasa ndiyo ametuleta hapa na kutuacha sijui ameenda wapi na hatujui tuelekee wapi! Halafu tuliambiwa kuwa huyo Slim mwenyewe ana kamkono ka udokozi dokozi,eti hata zile bangili za dhahabu na almasi anazolalamikia yule Mkongomani ni yeye alikwiba!! Eti ndo yule kaka yetu aliyepita akamuuliza kwa nini unakwiba vitu vya mkongomani? Eti Slim akatishia kumpiga!!
 
Hiyo pesa ya machungwa ya muheza ni sawa na shilingi ngapi ya madafu, tueleweshane kwanza
 
huo ni mshahara usiweke marupurupu maana walisema watakuwa wakipokea allowance pia nje na mshahara ...wanavyodai wenyewe ni kwamba wame recruit best pilots kutoka mashirika makubwa lkn hao marubai wote 12 ni raia wa Uganda tayari wameshawapata na first officer 12 pia
 
Uganda nao wanamuiga ANKALI?
sio kuiga tu unajua sasa iv usafiri wa anga barani afrika unaonekana kukomaa sasa na haya mashirika makubwa mengi yanapiga chini sehemu ambazo wateja sio wengi mfano emirate tu wamepiga chini safari za entebe hata british airways pia walikata safari za entebe tangia miaka ya 2015 ss ni vyema taifa kujiongeza ili kukomaza utalii wa nchi lkn pia ujio wa shirika la ndege kama la rwanda limekuwa kama kioo cha mataifa jirani kujitazamia yaani ka nchi kadogo kametoka ktk machafuko makali leo kana ndege zake iweje Ug ikose then ndio unaona mataifa yana jaribu hii biashara lkn kwa Tz binafsi naona biashara ipo kama umakini ukiwekwa mbele pamoja na ubunifu
 
Madikteta yamepewa madesa na mwalimu wao ni mmója wazitumia sasa kwa zamu
 
Back
Top Bottom