UGANDA: Mbunge akubali kurudia mtihani wa kidato cha nne baada ya kushinda kesi ya pingamizi dhidi ya vyeti vyake

UGANDA: Mbunge akubali kurudia mtihani wa kidato cha nne baada ya kushinda kesi ya pingamizi dhidi ya vyeti vyake

Mookiesbad98

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2015
Posts
2,805
Reaction score
3,640
Mbunge wa jimbo la Busiro Kusini huko Uganda imemlazimu kwa hiari yake mwenyewe arudie kufanya mtihani wa darasa la nane nchini Uganda baaada ya kesi ya pingamizi dhidi ya Ubashite wa vyeti vyake.

Tunalo la kujifunza hapa kwa waheshimiwa wetu wabunge ambao wana vyeti na profile za kuungaunga warudi Necta waka weke sawa vyeti vyao vya elimu.

Mbunge huyu alidai alisoma Secondary Kings College lakini hakuwai kufanya ithibati ya cheti chake katika mamlaka ya elimu nchini humo.
 
Huku Tanzania wenye vyeti feki walikuwa wafanyakazi wa serikali tu...

Wale wanasiasa(wateule) na wafanyakazi wa sekta binafsi Ni huru kuwa na cheti feki au batili...
 
Tatizo la vyeti feki ni kubwa kulikoni unavyolitafakari wewe
 
Back
Top Bottom