Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Mbunge wa Manispaa Arua, nchini Uganda Ibrahim Abiringa, mmoja wa wale ambao waliokuwa mstari wa mbele kushinikiza mabadiliko ya Katiba ya Uganda ameuawa kwa kupigwa risasi jana usiku.
Polisi imesema mwanasiasa huyo wa chama tawala cha National Resistence Movement (NRM),na mlinzi wake waliuawa karibu na makazi yake kaskazini mwa mji mkuu wa Kampala na watu wasiofahamika.
Rais Yoweri Museveni amesema kuwa amesikitishwa na mauaji hayo na kuagiza maafisa wa usalama kuwasaka waliomuua mbunge huyo.
Chanzo: VOA Swahili
Polisi imesema mwanasiasa huyo wa chama tawala cha National Resistence Movement (NRM),na mlinzi wake waliuawa karibu na makazi yake kaskazini mwa mji mkuu wa Kampala na watu wasiofahamika.
Rais Yoweri Museveni amesema kuwa amesikitishwa na mauaji hayo na kuagiza maafisa wa usalama kuwasaka waliomuua mbunge huyo.
Chanzo: VOA Swahili