Ila waganda washamba jamani gari ya njano na suti ya njano,
Rip sir
HhhaaaaaaHiyo rangi hata niikute ndio sare ya mbinguni sivai
[emoji23] [emoji23]Hhhaaaaaa
...........Na hawa wa hivi unawakuta kichwani weupeee!!!wao kupiga makofi tu hata kwa hoja mfu.Ila waganda washamba jamani gari ya njano na suti ya njano,
Rip sir
Kwanini iwe kawaida mauaji? Hapana Afrika siasa imezidi kuwa mbaya aiseeMambo ya kawaida kwenye Siasa Dunia nzima Sio Africa peke Yao
Kina Kenedy, Malkom X Na Martin Luther walipigwa Chuma
Kina Ghandi kule India
Kina Bhenazir Butoh kule Pakistan