UGANDA: Mswada wa kuondoa ukomo wa umriwa Urais warudishwa kwa wananchi kupigiwa kura ya maoni

UGANDA: Mswada wa kuondoa ukomo wa umriwa Urais warudishwa kwa wananchi kupigiwa kura ya maoni

real G

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2013
Posts
5,227
Reaction score
5,299
Spika wa Bunge la Uganda, Rebecca Kadaga, ameamuru rasimu ya muswada unaolenga kubadili kifungu cha katiba kinachoweka mkomo wa umri wa rais, upelekwe kwa wananchi.

Hatua hiyo imeungwa mkono na waziri mkuu na sasa bunge litarejea kufanya kazi zake kama kawaida

Muswada huo ulikumbwa na utata tangu tetesi za kuwasilishwa kwake

 
Ifike muda na sie waafrika tubuni aina zetu za uongozi zenye kuendana nasi na wakati tuliokuwa nao.
 
Back
Top Bottom