UGANDA: Mwanaume ahukumiwa kufanya kazi za kijamii kwa siku 40 kwa kupaka Pilipili kwenye nguo za ndani za Mkewe

UGANDA: Mwanaume ahukumiwa kufanya kazi za kijamii kwa siku 40 kwa kupaka Pilipili kwenye nguo za ndani za Mkewe

Kurzweil

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
6,621
Reaction score
8,411
LIRA, UGANDA: Mwanaume ahukumiwa kufanya kazi za kijamii kwa siku 40 baada ya kukutwa na hatia ya kupaka Pilipili kwenye nguo za ndani za Mkewe

> Hakimu wa Mahakama huko Lira, Hilary Kiwanuka amechukua uamuzi huo baada ya kubaini kuwa Mtuhumiwa bwana Moses Okello alifanya tukio hilo kwa makusudi.

> Mwanamke huyo amesema kuwa baada ya kuvaa nguo hizo alipata maumivu makali kwenye sehemu zake za siri ndipo alipomuona Daktari alitemtaarifu kuwa alivaa nguo yenye Pilipili.

> Hata hivyo bwana Okello amekiri kufanya kitendo hicho huku akijitetea kwa kusema kuwa alitaka kumtania Mkewe
 
Back
Top Bottom