LIRA, UGANDA: Mwanaume ahukumiwa kufanya kazi za kijamii kwa siku 40 baada ya kukutwa na hatia ya kupaka Pilipili kwenye nguo za ndani za Mkewe
> Hakimu wa Mahakama huko Lira, Hilary Kiwanuka amechukua uamuzi huo baada ya kubaini kuwa Mtuhumiwa bwana Moses Okello alifanya tukio hilo kwa makusudi.
> Mwanamke huyo amesema kuwa baada ya kuvaa nguo hizo alipata maumivu makali kwenye sehemu zake za siri ndipo alipomuona Daktari alitemtaarifu kuwa alivaa nguo yenye Pilipili.
> Hata hivyo bwana Okello amekiri kufanya kitendo hicho huku akijitetea kwa kusema kuwa alitaka kumtania Mkewe