INSIDER MAN
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 2,005
- 19,579
Hakika kwa hili Museveni ametisha sana, Mungu aendelee kumtunza, kwa hili jambo amecheza kama Messi. Kuanzia sasa LGBTQ ni haramu Uganda, kumbukeni juzi hapa Kenya waliruhusu vitendo vya LGBTQ.
Nasubiri kuona mama yetu kipenzi Samia atafanya nini na yeye.
Nasubiri kuona mama yetu kipenzi Samia atafanya nini na yeye.