Mwana wa Mungu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2008
- 1,003
- 85
Jamanie, why not Uganda change the route to Tanzania, I think this is a very good opportunity for Tz to modify its roads and if possible a railway so that in stead of Kenyans taking the railway as a weapon to Uganda, they can now be free to pass their goods kupitia Kenya au Tz. Museven, till when will you remain a kenyan colony? Tz changamkia tenda, especially the road from Dar to Mwanza and Bukoba. dili hilo.wakenya kaeni chonjo.
If they didnt switch during the post election violence era, am sceptical if they can move or if they are thinking of moving now, due to the migingo stand off.
hahaha, watabadili tu, hawawezi kukubali kuishi kwenye ukoloni hivyo. you just wait and see.
It will be nice for a change, at least waiyaki way will be rid of those transit trucks. Lakini I was wondering, when did Uganda sign an agreement with Kenya for using Kenyas port and Kenyan road as a transit route? what criteria did he use in choosing Kenya and not Tanzania as the route for his goods? What economic advantage are we raking from this venture?
angalia vizuri manake naona kama wewe ndo umekosea au umeangalia harakaharaka.Mkuu Mwana Wa Mungu,
Heading ya thread "....transport root..."!
Nadhani ulimaanisha "route"?
hiyo ni ndoto mchana , ndoto isiyo na maana. Tanzania ni nchi yakuwa mbali sana kulinganisha kenya . Lakikni sisi tuna laana kiasi kwamba hawa walioko katika uongozi wanachofikiria ni kuiba tu na siomaendeleo. Mamlaka ya bandari haina mikakati ya maendeleo wanachoshindana ni kuiba na kuchelewesha mizigo ya watu. 'oppotunity is not something you wait for, it's something you create'. Kipindi cha fujo za kenya watu wa bandari walisema eti 'fujo za kenya zitainufaisha bandari ya dsm. Kama mtazamo wao ni kusubiri kenya kuwe na fujo ,ujue kama sisi hatujui tunachokifanya. Wamesahau kama bandari ni sehemu ya biashara. Sio kumsubiri mteja bali kumfuata mteja. Kwanini kenya wawe na biashara hiyo tanzania ishindwe? Jibu, sisi wabongo wazembe , tunacho kijua ni kuiba tu na jioni kwanda bar. Nchi inaongoza na watu wenye mawazo na akili zilizo dumaa. Maisha tutaendelea kuwa nyuma. Pamoja na kwa tanzania ina mali asili ya kutosha.jamanie, why not uganda change the route to tanzania, i think this is a very good opportunity for tz to modify its roads and if possible a railway so that in stead of kenyans taking the railway as a weapon to uganda, they can now be free to pass their goods kupitia kenya au tz. Museven, till when will you remain a kenyan colony? Tz changamkia tenda, especially the road from dar to mwanza and bukoba. Dili hilo.wakenya kaeni chonjo.
Jamanie, why not Uganda change the route to Tanzania, I think this is a very good opportunity for Tz to modify its roads and if possible a railway so that in stead of Kenyans taking the railway as a weapon to Uganda, they can now be free to pass their goods kupitia Kenya au Tz. Museven, till when will you remain a kenyan colony? Tz changamkia tenda, especially the road from Dar to Mwanza and Bukoba. dili hilo.wakenya kaeni chonjo.
Jamanie, why not Uganda change the route to Tanzania, I think this is a very good opportunity for Tz to modify its roads and if possible a railway so that in stead of Kenyans taking the railway as a weapon to Uganda,
.