Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
It is called Rift Valley Railway!Wabongo bana, eti reli ya Kenya ni railway to nowhere utadhani SGR yao imefika Canada. Hata hiyo meter gauge ya Kenya jina lake tangu jadi ni Kenya-Uganda Railway. Haha! [emoji1] Haya maisha ya kuishi mkitizama Kenya inawakosti sana.
Hujahama jf bad0?It is called Rift Valley Railway!
https://www.businessdailyafrica.com...R-handover/3946234-4304936-ya7o5vz/index.html
Mzee wa copy and paste, Rift Valley Railways(RVR) ni kampuni ambayo ilipewa kandarasi ya kuoperate Kenya-Uganda Railway miaka kadhaa iliyopita. Tena kandarasi yake sio ya reli yote. Magadi pia ina stretch yake kutoka Konza. Rudi kwa Professor Google.It is called Rift Valley Railway!
Train breakdowns haunt Kenya Railways after RVR handover
Mmmh, ndio umefufuka leo? [emoji1] Kwa hivyo meter gauge ya Kenya-Uganda Railway inatumia umeme? Endelea kunielimisha jombaa.Umeongea kwa unyonge sana.. nini iko mbaya! Magu amejua kuwasomesha namba ili anza pipeline, Kagame aka wakacha sasa M7 na yeye ameona ma diesel train ndani ya 2018 siyo sawa [emoji23]. Kumbuka nikwanza miaka mitatu..
Mimi nipo siko zote.. maumivu ya kichwa yanaanza polepole, wewe andaa Sona mojaMmmh, ndio umefufuka leo? [emoji1] Kwa hivyo meter gauge ya Kenya-Uganda Railway inatumia umeme? Endelea kunielimisha jombaa.
Acha ujinga wewe jamaa. Nani kakwambia hai-connect na Tanzania hiyo metered gauge railway?Umesahau metre gauge ya Uganda haiendi Tanzania, inaenda Kenya? Endelea kusherehekea wakati sisi tunapeleka mizigo Uganda kwa reli wakati nyinyi hamna reli inayofika Uganda. Ni mdomo tu mko nayo kubwa.
Hahaa, aisee nilikuwa nimedhani ulizama kusikojulikana na LionAir ya Indonesia. Kwahivyo maumivu ya KQ tangu juzi yalikufanya umeze kopo nzima la Sona Moja, painkiller kutoka Kenya? Meen you can never hide from us! 😎Mimi nipo siko zote.. maumivu ya kichwa yanaanza polepole, wewe andaa Sona moja
Hahaaa.. Hiyo safari ya Kq hata hainisumbui. Sona moja huku Tz haipo kabisa, hii namaanisha ni vile mimi nimesha kua shemeji yenu ndiyo maana naijua hiyo dawa [emoji2]Hahaa, aisee nilikuwa nimedhani ulizama kusikojulikana na LionAir ya Indonesia. Kwahivyo maumivu ya KQ tangu juzi yalikufanya umeze kopo nzima la Sona Moja, painkiller kutoka Kenya? Meen you can never hide from us! 😎
Shemeji sio? Nakuonea 18. [emoji1] Uwe tayari kuja na lita kadhaa za Muratina ya wazeeHahaaa.. Hiyo safari ya Kq hata hainisumbui. Sona moja huku Tz haipo kabisa, hii namaanisha ni vile mimi nimesha kua shemeji yenu ndiyo maana naijua hiyo dawa [emoji2]
Mimi nakuonea 16!! nashangaaga unavyo mkatiaga n.................a mistari [emoji23]. Usihofu nitakuja fullShemeji sio? Nakuonea 18. [emoji1] Uwe tayari kuja na lita kadhaa za Muratina ya wazee
Umesema wewe mwenyewe ANGANI TUPU. Huo ni ukweliTatizo hawa jamaa maneno mengi ubabaisaji ndio usiseme. Hivi ninyi wakenya mnadhani hizi zama za Magufuli ni za Jakaya. Jamaa hataniwi. Mkisema SGR tupo, Mkisema Meter Gauge tupo. Mkija Angani tupu, mkija majini na nchi kavu tupo kwani barabara zinatandazwa kama hatuna akili nzuri. Sasa tunakimbizana na viwanda na umeme. Kwenye utalii sasa hivi tunawashika.
Jiongeze unapoona typo error. Ndio maana mnapigwa na akina Ruto maana mmezoea kukaririUmesema wewe mwenyewe ANGANI TUPU. Huo ni ukweli
Inaonekana uko na hasira sana kijana. Chunga usianze kuuguaJiongeze unapoona typo error. Ndio maana mnapigwa na akina Ruto maana mmezoea kukariri
Umetoka kulewa ukaja kukurupuka huku? You are a unique douchebag yourself. Hicho kileo hakikupeleki vizuriUhuru is a Failure, a true douchebag who has nothing but shit in his head. Anajua tu kuhudhuria mikutano na PR mingi mingi.
Mchezo huu hauhitaji hasira, taratibu mtausoma tu twendeni mdogomdogo miaka mitano ijayo ukanjanja wenu utakuwa wazi.Inaonekana uko na hasira sana kijana. Chunga usianze kuugua
Andaeni vitanda kibao muhimbili basi maana wengi wenu mtalazwa huo wakati ukifikaMchezo huu hauhitaji hasira, taratibu mtausoma tu twendeni mdogomdogo miaka mitano ijayo ukanjanja wenu utakuwa wazi.
WAMEJITAMBUAThey will not connect their rail to Tanzania at all..why are u happy.
Tunawaandalia maana ndoo itakuwa rufaa kwenu, subiri wachina wakishiriki na akina ruto wawabakize mifupaAndaeni vitanda kibao muhimbili basi maana wengi wenu mtalazwa huo wakati ukifika