Uganda tuachieni tuwafunge walau 5 - 0, kwani si mmeshafuzu?

Uganda tuachieni tuwafunge walau 5 - 0, kwani si mmeshafuzu?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Sioni sababu ya Waganda kutubania ndugu zenu, hatujashiriki haya mashindano since 1980, tuoneeni huruma basi na sisi jamani, khaa, msitukazie jirani zetu.
 
kwa vile nyinyi mna jeuri na juzi tu mmemualika Mr. Slim na Slim na mzee wetu Mu7 mapicha hayaendi lei ni kipigo tu.
 
Fifa wakijua ni soo, isingekuwa Fifa tungewaachia.
 
Back
Top Bottom